Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Erik ten Hag when asked if Man United don’t have to call him: “My focus is on Ajax, the rest only distracts” #MUFC

So we are assured that you remain the Ajax manager? “It’s a weird question. I heard nothing about it [Utd job], so I can't think about it”. #Ajax
 
Erik ten Hag when asked if Man United don’t have to call him: “My focus is on Ajax, the rest only distracts” #MUFC

So we are assured that you remain the Ajax manager? “It’s a weird question. I heard nothing about it [Utd job], so I can't think about it”. #Ajax
Huyo jamaa angefaa
 
Nature ya kikosi tulichonacho pia inawatisha baadhi ya waalimu kuikubali united katikati ya msimu maana italazimu kuondoa wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza kitu ambacho tunaaminishwa kuwa ni world class
Tunaaminishwa nini
 
Upo sahihi mkuu. Japo kuna makosa baadhi hapo ikiwemo Ronaldo kusajiliwa na Mourinho, he didn't, alisajiliwa kipindi cha Pellegrin.

Hata hivyo nimeelewa overall point yako.

Kusema ukweli mimi sio muumini wa haya masuala ya kusema kikosi kikishakua assembled basi kocha yupo guaranteed kufanikiwa nacho.

Naamini kocha naye anatakiwa kuwa na uwezo. Ntakutajia mifano michache.

Rijkaard ali fail kwa kutumia kikosi kile kile Guardiola alichukulia treble.

Lampard ali fail kwa kutumia kikosi kile kile TT amekuja kuchukulia uefa.

Carlo ali fail kwa kutumia kikosi kile kile ambacho Hans Flick amekuja kuchukulia treble pale Bayern.

Turudi kwa Zizzou sasa. Wakati akina Mou wanakomaa na Fabio Coentrao (mfano) kama LB, yeye akaona the right person kuwa left back ni Marcelo (it takes great coaching kujua hilo, just as the way Ole didn't know a lot about his best players)

Midfield ya Kroos, Modric na Casemiro Zidane ndo aliweza ku exploit potential yake. Casemiro alikua nothing before Zidane. Waliotangulia walikua wanakomaa na akina Khedira na Illaramendi kwenye DM, Zidane aka stick na Casemiro. This takes great coaching too.

Yapo mengine sana Zizzou ali develop katika kipindi chake ambayo hatuwezi ya ignore.

Faith ya Zidane kwa vijana ni kubwa nadhani kuliko makocha wengi sana kwa sasa.

Record ya most consecutive wins pale la liga ambayo ilikua inashikiliwa na Enrique kwa 39 games, Zizzou ndo aliivunja. Yeye ana 40 nadhani.

Zizzou amechukua la liga katika second coming yake akiwa na kikosi average compared to Barca na Atletico.

Kwa maoni yangu, Zidane ni underated. Kama tu Pep alivyoondokaga Barca ikasemekana hatafanikiwa ligi ya uingereza etc
Ukweli unabaki pale pale , Zidane amekaa kwenye benchi la ufundi la Madrid karbia miaka kumi kabla ya kupewa timu full, wachezaji wale wale wamebadilishwa mfumo wa uchezaji karbia makocha sita tena world-class managers....hii ilimpa uzoefu mkubwa mno wa kujua mchezaji yupi anafaa wapi na yupi hafai wapi....kitu ambacho hata makocha wengine hawakuwa nacho , kabla mambo hayajakaa Sawa wanatimuliwa ...kazi yake ikawa ni kupanga Tu timu ..... Kwa man united jamaa mtamfukuza soon Tu may be akina Ronaldo na Varane waamue kumpambania hasa
 
Hataki
PSX_20211122_104615.jpg
 
Jamaa anajua timu ipo hovyo hovyo mno , mashabiki wataweka expectations ambazo zitahtaji bodi ijipange kuzitimiza, kama bodi haitampa nguvu ya kusuka upya kikosi huku wapinzani wake akina clopp, guardiola, Conte etc anaona ataishia kufukuzwa Tu soon Bora ajiendee zake psg ligi isiyo na pressure na wamiliki wanaosikiliza
 
Back
Top Bottom