Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaa uko serious hapo nilipoweka wino mzito (bold)? Mwanaume anayeongozwa na mke wake hafai kuongoza kundi la wanaume mahala popote pale.

Kuna siku mke wake atamwambia Cristiano Ronaldo asiwe anaanza kisa kagoma kusaini kitabu chake cha kumbukumbu.
Videmu vya kizungu vinakuwa vipumbavu kweli..

Kidemu cha De Gea pia mwanzoni kilikuwa hakipendi kuishi Manchester..na kilitaka De Gea asije United coz kalisema jiji la Manchester ni baya kama nyuma ya friji.

So,hawa mademu wanainfluence baadhi ya mambo.
 
Sisi mafans wa manure tunamtaka Ole abaki ..maana hatuna pa kumpeleka huyu Ole ni wetu hatuna namna tumpe muda tu.
Au munaonaje ndugu zangu
 
Videmu vya kizungu vinakuwa vipumbavu kweli..

Kidemu cha De Gea pia mwanzoni kilikuwa hakipendi kuishi Manchester..na kilitaka De Gea asije United coz kalisema jiji la Manchester ni baya kama nyuma ya friji.

So,hawa mademu wanainfluence baadhi ya mamba.
Hawa mastar wanapata pesa mapema sana wakiwa wadogo kabla hawaja wajua mademu vizuri. Huwa wanakuwa na tabia za kuwahusudu sana wake zao.

Jaribu kutizama mifano mchezaji kama Emmanuel Eboue, Louis Saha na hata Anthony Martial wamepitia maseke seke ya kuendeshwa na wake zao.
 
I let the boys go out there and enjoy themselves kila press anaongea hii kauli mnataka tuwe tunachukua kombe la nini hahahaa.
Anyway nabaki mwenye uzi.
Ole alinichekeshaga sana aliposema mabeki hawapendi kuwakaba wachezaji kama Martial,Rashford na Lingard..maana wapo talented sana na wana speed sana.
 
"Ole ana watoto.wawili wa kiume wanakula kama mchwa..msifute kazi"...walisikika wanaopenda kujichukulia points 3 kwa ole kiulani chap na ukali.

Mtakoma wazee..TUNAANZA UPYAAAAAAAA
Kaka una furaha sana, ole nkiongea chochote kuikashifu man United basi apigwe risasi😅😅😅😅
 
Erik Ten Hag atafaa ila ni lazima mabadiliko ya kiuongozi wa juu angalau basi nafasi ya mkugenzi wa ufundi apatiwe mtu mwenye akili sana na mwenye uzoefu wa kuendesha timu ya soka kwa mafanikio.

Kama uongozi utabaki vile vile kibozo bozo basi Luis Enrique atafaa sana. Huyu ni mtu anayeijua kazi yake na sio rahisi kumuingilia akiamua jambo lake. Ni mjeuri na fundi pia ana uwezo wa ku-structure timu nzuri kwenye mazingira yenye viongozi vilaza.
 
Vyombo vya habari vingi vinamshabikia Sana zizou lakini sioni kwamba Ni mtu sahihi Sana wa kuipeleka timu kwenye mstari wa mafanikio,,,, kushinda ile uefa mfululizo ndo kulikuza cv yake ,,,, zaidi ya hapo hakuna kitu,,,,,


Ngoja tuone , !!!
 
You're extremely wrong mkuu. Ukweli ni kwamba Zidane hayupo available kiasi hiko unachosema.

Moja, yeye anataka France NT

Mbili, anataka kumaliza mwaka mmoja wa likizo yake.

Tatu, hayupo tayari kuchukua team yoyote katikati ya msimu.

Nne, mke wake hataki weather ya mji wa Manchester (kiafrica tunaichukulia poa ila wenzetu huko wanaskilizana kwenye maamuzi)

Kabla Mou hajaenda Inter alikua ameshaamua kuchukua kazi ya England NT mke wake akakataa.

Talking about cheap, u cheap wake ni kwamba tu hana release clause yoyote. Ila package-wise jamaa sio the cheapest
Zizzou anamapungufu yake, everytime akiondoka anaacha crisis nyuma, simtofautishi na Mourniho, achilia mbali pale madrid kakimbia kifuli chake, maelezo yake mengine anapoliticize tu
 
Ha ha unahatari sana mkuuu kumbuka nyuma ya ole Alex Ferguson alikuwepo
Mkuu nina experience kubwa sana ya people management, people management haina formula, it is a very dynamic undertaking.
wote wote wanaopewa majukumu ya kusimamia watu alafu wanapewa maelekezo namna ya kuwasamia lazima wachemshe, ndio ilivyokuwa kwa ole with sir alex behind him.
 
Back
Top Bottom