Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Sio fair kabisa kumfukuza mtu kazi wakati ajira zenyewe zimekuwa ngumu kiasi hiki.


"Ole ana watoto.wawili wa kiume wanakula kama mchwa..msifute kazi"...walisikika wanaopenda kujichukulia points 3 kwa ole kiulani chap na ukali.Mtakoma wazee..TUNAANZA UPYAAAAAAAA