Poleni wakuu ndio mpira huo!!Stupid defending by Smalling...
This another EPL Nzi hutaki tupa kureeeeeee, hiyo inaitwa chenga twawala...ngoja nipitie kwa mama mburula nikagonge biaPlayed really well, missed a lot of chances, failed to score, and we are beaten.....
#Painful
#ManUnited all the way.....
Wakati wapinzani wetu wanapata ushindi kiulaini sisi tunafungwa nyumbani,now inabidi kupigania top four
Mwaka Hui hata5bora mtaisikia kwajilan
Pamoja na makosa ya beki kuruhusu goli ila kuna udhaifu mkubwa kwenye kushambulia tunakosa magoli mengi sana
uzembe mkubwa sana
manure cjui wamelogwa?
Hasara tupu mwaka huu
Msiliie jamani....sio mbaya m-meporomoka nafasi moja tu(( 9 position)...u have enough time to comeback!!Wakati wapinzani wetu wanapata ushindi kiulaini sisi tunafungwa nyumbani,now inabidi kupigania top four
Yaani huyu kocha timu imemshinda kabisaa
kweli nimeamini original ni original tu maana ilikuwa ni everton original vs everton feki.
Wakati wapinzani wetu wanapata ushindi kiulaini sisi tunafungwa nyumbani,now inabidi kupigania top four