Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,716
- 5,339
Mzee yani kwa sasa kikosi kinachoanza utakiona kizuri kwa sababu huyo telles kucheza tu mtihani....Talles kuanza mbele ya Show hiyo siungi mkono.
Show ni mtu na nusu, mchawi ni uwezo wa mwalimu tulie nae.
Same case na wakina dalot na kina vdb watu hawapati gametime ya kutosha ubora wao utauonea wapi...nafahamu kuna watu wanaperform hata huo muda mfupi ila ni wachezaji wachache sana wako hivyo duniani...wengi mpaka wazoee
Kwa sasa utamuona shaw kitasa kwa sababu anayemfatia hata hapewi muda wa kujiprove ni bora
Muangalie bailly .....
Utashangaa mechi inayokuja haanzi
Bwana ole sijui ana picha za utupu za kina glazer?? aaaah bhana .... anyway #oleout


