Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu mfumo anaocheza Tuchel siku zote siyo ule aliocheza siku ile...

Na hicho kitu hatokaa arudie... Sidhani kama atarudia tena kucheza 3 5 2 hasa kwenye big games....
 
Cavani na CR7 huu muunganiko una shughuli ya kibabe sana. Ole kama ni mjanja ni wakati wa kufanya special training kwa Shaw na Bissaka kupiga cross za utosi ili ku-levarage uwepo wa Cristiano na Ed ktk box kwa wakati mmoja wote hawa wanajua sana kufunga kwa mipira ya vichwa.
Ole ana kikosi cha kuchukua UCL ila akili imeshakaza. Hawezi tafuta plan B mpaka kibarua kitake kuota nyasi.
 
4-2-3-1 ni mfumo mzuri unaoifanya timu kuwa vizuri katika maeneo mawili kwa pamoja: defensively na offensively. Kinachofelisha huu mfumo ni mapungufu ya watu sahihi kwenye namba ya kiungo mkabaji.

3-5-2 ni mfumo mzuri ila ni mfumo ambao kwa timu yetu unaweza usifanye kazi ipasavyo tukikutana na timu imara. Mfumo huu utatufanya tuwe defensively wazuri ila kucheza na playmaker mmoja huku tukiwategemea Shaw na AWB ni kama tutakosa vitu baadhi kwenye huu mfumo. Mfumo unahitaji zaidi LWB na RWB wanaopandisha mashambulizi na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga kwa washambuliaji. Telles na Dalot ni option nzuri zaidi katika mfumo huu.

Kama Ole anataka ku-stick na huu mfumo kwa kuwatumia Shaw na AWB ni heri Pogba akirudi a-switch kwenda 3-1-4-2 ila itabidi McFred ivunjwe sasa sijui nani atafaa kusimama katika DM. 3-1-4-2 itatufanya tuwe hatari zaidi kwa kutumia playmaker wawili Pogba na Bruno maana kule mbele Ronaldo na Cavani wao wanasubiri kutengenezewa tu nafasi za kufunga.

January wafanye wapate DM tu-switch kwenye 4-3-3 naamini hii timu iliundwa kuja kutumia huu mfumo in the future. Next summer I hope tutapata a long-term striker (Haaland).
Kwa kinachomtokea Sancho, usitegemee Dortmund wakawapa Halland kirahisi hivyo.
 
Lete statistics za Gurdiola Vs Tuchel wakati tuchel yupo Chelsea.
Acha kubwabwaja,Wakati huna data!
Screenshot_20211101-144559.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom