D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
As a boyhood Manchester United fan since 1970, I will be heart brokenif Ole is sacked. He is our club legend and deserves better from the so called “fans”. Signed - Honest Manchester United fan.
Mourinho ndio alileta makombe ya mwisho kwa United ,uamuzi wa kumwondoa Mou afu unamleta Ole ilikuwa maamuzi ya bar kabisa, Mou akipewa kikosi hiki kutakuwa hakuna wa kumfunga.Tetesi za Potter zipo zamani tu, zidane kwa kikosi chetu inamake sense zaidi sababu tuna wachezaji wake wengi ila Nasikia hata Kingereza Hajui kuongea. Conte ni Conte unless tunabadilika Toka juu na kumpa Support 100% kuna possibility kubwa ikawa Mourinho part 2.
Anyway tuwape nafasi Kina Fletcher na Murtough pengine wanajua mengi tusiyoyajua.
Zidane huwa simwamini, Conte nina uhakika akija Man Man utd wanaweza kushinda kombe lingine, ila wakimzengua kama walivyofanya kwa Mourinho, hakawii kukiwasha.Ukiangalia makocha wakubwa wenye profiles kubwa ni Conte na Zidane ndiyo hawana kazi lakini ni kama hawaaminiki hivi kwa Manchester United.
Nje ya hao huoni profile ya kuweza kupambana na pressure iliyopo United.
Ole kudumu United kwa misimu mitatu ni kutokana na kutoshambuliwa sana na legends wenzake wamemlinda sana ila imefikia hatua hawana sababu za kumtetea tena.
Spurs anapigwa hii game, Nuno na yeye mambo yamemkalia pabaya huko Spurs.Akiwafunga Spurs Jumamosi yote haya yatasahaulika ingawaje nachungulia sare ya moja kwa mojaView attachment 1986872
Ed Woodward yuko wapiManchester United wanafikiria kumfukuza kazi kocha wao Ole Gunnar Solskjaer baada ya kipigo cha kudhalilishwa na Liverpool cha mabao 5-0 jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu hiyo Richard Arnold leo alifanya mazungumzo ya dharura na wamiliki wa Klabu hiyo wakati kukiwa na presha kubwa ya kuhusu kocha Ole Gunnar Solskjaer ya kibarua chake cha takribani miaka mitatu kutakiwa kifikie mwisho.
Taarifa zinasema huenda akafukuzwa kabla kufikia Jumamosi ambapo Manchester United itavaana na Tottenham Hotspurs Mjini London.
#KitengeSports
Issue si mafanikio bali rebuild itakayohitajika pale mambo yatakapo paranganyika. LVG, Mou, Ole, kila kocha ana style yake na kila kocha amesajili wachezaji wake sababu mfumo wa aliyemtangulia ni tofauti na wake. Conte akija nae ana wachezaji wake tofauti, na wachezaji wake Makocha wengine hawawezi kuwatumia, mfano Chelsea Alimuacha Victor Moses kama Key player na Marcus Alonso, nani Duniani anaweza Kushinda Epl na Victor Moses kama Key player? Ilibidi kufanyike Rebuild kubwa wakati wa lampard mpaka kuja kuwa na mafanikio ya Tuchel.Mourinho ndio alileta makombe ya mwisho kwa United ,uamuzi wa kumwondoa Mou afu unamleta Ole ilikuwa maamuzi ya bar kabisa, Mou akipewa kikosi hiki kutakuwa hakuna wa kumfunga.
I am convinced Man Man utd will win the next fixture. I am no pessimistic, but I have serious aspersions on the tactical capability of Zidane. I am even more worried to imagine whether Ronaldo still has a mojo to be relied upon in winning cups.Zinedine Zidane to replace Ole Gunner Solksier NEXT WEEK if Manchester United loses to Tottenham Hotspurs even a draw will not save his job?View attachment 1987074
Ulie post ujinga huuu futa mara moja au mode futa ujinga huuu nani asie yaogopa majogooo ya jiji mpka hiko kibabu cha ureno anaogopa
Tatizo lenu mnafata sana mkumbo yani unasema Zidane alikuwa na kismati, UCL 3 kwa misimu mitatu mfululizo unaita kismati!? Mnaangalia mpira gani? Kwahiyo pale Madrid wachezaji walikuwa wanajichezea tu bila mbinu za kocha sasa kwanini wachezaji wa United wameshindwa tu kujichezea kuifunga hata Leicester City kama mpira ni kukusanya wachezaji tu na kujichezea.Zidane alikua na kismati tu cha wachezaji pale Madrid kipindi kile yeye mwenyew alishtukia akasepa alivorudi mara ya pili mkaona kabisa hamna kitu pale mpka akaondoshwa so si kocha wakufundisha man utd
Pia uyo kocha wa Ajax ni wa kawaida mno ndo wa kina sendeka wengine hao wamechangamka tu angekua bora sana asingekua Ajax mda huu
Mkataba wa ole una miaka mitatu iliyo hai
Nyie wapuuzi wa jf mnaotaka ole aondoke, mna pesa ya kumlipa!!??