Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndugu zangu wa Manchester wenzangu umu, mim nilishahacha kutazamanj mechi zetu mpaka OGS atakapondoka

Watu wanasemaga wazungu wana akiri ila wazungu waliopo ktk bodi ya wakurugenzi ya Man utd hawana akili
 
Nakumbuka Jose Mourinho alifukuzwa kazi baada kufungwa na Liverpool goli 3, naamini hii itakuwa mechi ya mwisho kwa Ole

Lindelof ni kitasa Sweden, Maquire ni tegemeo England, Ronaldo ni mchezaji bora duniani, Fred piga ua anapata namba pale Brazil, the selecao

Hapo sijamtaja Bruno, Shaw, Pogba, Sancho, Dr. Rashford, Best emerging talent in form of Greenwood n.k.

Ole kubaki kazini ni jinai.
Tena eleza vizuri Mou alifungwa 3 akiwa hana kikosi cha kueleweka, akina Rio Ferdinand wakawa wanaleta fujo ati Man Man utd imekuwa timu kwa Liver,leo hata siwaoni.
 
Salah 'The Egyptian King'
Screenshot_20211024-194907.jpg
 
Tena eleza vizuri Mou alifungwa 3 akiwa hana kikosi cha kueleweka, akina Rio Ferdinand wakawa wanaleta fujo ati Man Man utd imekuwa timu kwa Liver,leo hata siwaoni.
Nimeeleza mkuu, si nimetaja silaha alizonazo Ole
 
Kuna wanachezaji hawastahili kucheza United

Wan bisssaka

Magwaya

Lindelof

Mctominay

Rashford

Shaw

Fred

Hawa wote hawana hadhi ya kucheza United trust me sio kocha tu mtakuwa mnamwonea hao wachezaje ni averega players kabisa wanastahili kucheza norwish city au stoke city
Hata chelsea kipindi ipo kwa Lampard walisema ivyo ivyo ila baada ya Tuchel kuchukua wachezaji wote wapo fire,

Tatizo la Man utd bodi ya wakurugenzi, tuanzie hapa, walitumia kigezo gani kumpa kazi OGS, yaan ilitumika CV ipi kuamini OGS angeirudisha Man utd ktk enzi?
 
Back
Top Bottom