Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Hana tofauti na harufu ya kinyeo yule.Sema Sosha anajua mazee
Hana tofauti na harufu ya kinyeo yule.Sema Sosha anajua mazee
Punguza hasira.Huyu mpumbavu atuachie timu yetu.
AiseeRonaldo mmepigwa
Achana nao mzee, ingawa hakabi ila ana tu save sana
Hakuna cha plastic fan hapa, yani unataka kusema real fan ni kukaa kimya bila kuusema ukweli hata kama team inafanya vibaya? Nani asiyeuona ubovu wa Man U zaidi ya wapumbavu tu?Plastic fan. Hopeless.
Kabla hata ya ujio wake hao kina fred ilikuwa kazi yao kuchoma.Sawa lakini angalau angekua anajitaidi kukabia juu kiasi kama Fernandez ili viungo visiwe na kazi kubwa sana anazubaa sana asipokua na mpira ndio maana kina fred wanachoma sana
Navyomjua Ole usishangae leo anaenda jisifu na kujipongeza kwa kumpelekea moto wa jehanam wife wake, kisa ushindi huu kwa Atalanta....Maskini Ole

#MUFC

Unaumia umepoteza ela au unaumia man u haijafungwa?Hakuna cha plastic fan hapa, yani unataka kusema real fan ni kukaa kimya bila kuusema ukweli hata kama team inafanya vibaya? Nani asiyeuona ubovu wa Man U zaidi ya wapumbavu tu?
Haya jamaa hapo juu anakwambia kwenye mikeka yake mingi huwa anaiua Man U kutokana na ubovu wake alafu unamuita Plastic fan, unataka kusema ili awe real fan ilitakiwa awe anaipa tu Man U aliwe hela zake sio? Kama ni kweli alikuwa anaiua unafikiri ni mara ngapi kashinda mikeka yake?
Hauna u-real fan wowote, wewe ni boya tu.