Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu imeoza kuna ulazima gani wa kuchezesha fred na tominay wakati tunafungwa magoli ya kipuuzi kabisa
 
nacheka lakini roho inauma hizi mb wangekua hawajafungia ningeangalizia porn mamaeee
 
Wachezaji wakali wameuliwa viwango, nikikumbuka Bruno alipokuja na ss daahhh
Kummk hivi Ole ataendelea kuvumiliwa mpaka lini? Tupigwe mechi hii na zote zinazofatia kwenye ligi, hakuna faida ya kuwa tunaombea ushindi wa kubahatisha
 
Back
Top Bottom