✓Ole ameshindwa kumfit Pogba kwenye kikosi chetu..kwenye 433 ameshindwa kwenye 4231 napo ameshindwa..kazi kumhamisha tu kutoka CM to LW...At this point Pogba ni mzigo tu kikosini..he is only good in his days,lakini inconsitency aliyonayo ni something else..Kama United hawana mpango wa kumfuta kazi Ole basi naona ni heri Pogba akauzwa.
✓7 matches lakini tumeshakata tamaa..why??...Sababu ni kuwa tumecheza mechi zote hovyo ukiacha game moja tu ya Leeds and let's not forget kuwa tumefungwa na Westham,YoungBoys na kushinda kimazabe vs Villarreal kwenye mashindano mengine..Tumesajili 3 world class players lakini tumeendelea kuwa hovyo kuliko kawaida..kisingizio kikiwa ni DM,this is not enough,Ole na benchi lake la ufundi ni tatizo kubwa.
✓Kikosi chetu kina potential goal scorers wengi kuliko kikosi chochote pale Uingereza lakini angalia tunavyoshindwa kupata ushindi convicingly..Cavani,Ronaldo,Greenwood,Rashford,Sancho,Martial.
✓Ole amefanya kazi nzuri sana kwenye usajili..lakini sioni akiweza kutupa mafanikio,ni bora tumtoe ili kikosi hiki kisiondoke trophyless..
✓Mechi saba zijazo za ligi zitakuwa za kuumaliza msimu wetu,ambao mimi binafsi naamini ushaisha tupambanie nafasi ya nne kwani City,Chelsea,Liverpool wameonyesha wao ndo watachukua zile nafasi za juu..let's just wait and see..tumeshindwa kuchukua 21 points kutoka kwa timu ambazo uwezo wa kuzifunga upo mkubwa sana,sasa sitegemei sisi kufanya lolote la maana kwenye the upcoming EPL fixture..kimsingi mimi nasema the 2021/2022 season has reached to an end..tupambanie tu UCL spot.