Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama sio majeruhi kama watangazaji wanavyojaribu kuhisi,martial hakutakiwa kutoka ili sancho aingie.
Hata Cavan sioni ni kwanini atolewe timum ikiwa kwenye rythm nzuri kama ile.
Anyway,Ole ndie anajua kwanini kafanya alichofanya.

Ole mitano tena.
 
It's really is the same old story. A poor performance, no consistency, not playing as a team and relying on an individual moment of brilliance from Ronaldo na kina bruno...
 
The boys gave it all....We got chances and we didn't use them effectively. We have special group of young talents with a mixture of experience....Actually we're making progress and we're looking forward to the next game after this incoming international break.

Haya yatakuwa maneno ya Ole ndulule baada ya hii game mbovu
 
Back
Top Bottom