

..Possession tu tumezidiwa tunacheza sana kwenye half yetu huko mbele hamna tunachofanya wao wakija kwetu ni hatari.Mbn mm naona cc ndio tunacheza sn isipokuwa hatutengenezi nafasi. Jamaa wanashambulia kwa kushtukiza shida ni kwamba nao hawana fowad kali, wangekuwa washatutia la mkikiri.
Kweli kabisa, kuna wajinga dalot na mctomy wanarudisha sn mpira nyuma.Possession tu tumezidiwa tunacheza sana kwenye half yetu huko mbele hamna tunachofanya wao wakija kwetu ni hatari.
Na wamemfanya uchochoro bora asipande maana hapo tu anapelekwa puta akipanda si tumeisha.Huyu dalot namkubali ila cku hz hachezi ule mpira wake wa kupanda, amekuwa muoga kapoteza kabisa confidence.
Na 5imba vipi mkuu umeacha kuiangalia, jokes tu mkuuOle hamna kitu ntarudi kushabikia hii timu siku ole akifukuzwa kwasasa nipo hata muda wa kupoteza kuangalia mechi sina





Simb nafuatilia sana ila kwa man utd tangu msimu ulioisha nilisema najitoa kwa muda maan kocha wetu yeye ni kukaa na kunywa maji hata haeleweki huwa anafundisha nini kwenye mazoezNa 5imba vipi mkuu umeacha kuiangalia, jokes tu mkuu![]()
Simb nafuatilia sana ila kwa man utd tangu msimu ulioisha nilisema najitoa kwa muda maan kocha wetu yeye ni kukaa na kunywa maji hata haeleweki huwa anafundisha nini kwenye mazoez
Ole hamna kitu ntarudi kushabikia hii timu siku ole akifukuzwa kwasasa nipo hata muda wa kupoteza kuangalia mechi sina










