Mashabiki wenzangu wa man u mnanichekesha sana team ikishinda ni juhudi binafsi ya wachezaji na team ikifungwaa ni lawama kwa kocha.... Hahaaa embu mpeni respect kocha amefanya mabadiliko sahihi ya kumtoa pogba kuingia lingard kwan pogba alikuwa anacheza na jukwaa muda wote wa dakika 75 anacheza mpira madoido sana... Na lingard kafanya alichotumwa na kocha wake basii...
Karibu sana mkuu.
Ila nikushauri kitu kimoja.
Tafuta simu za Samsung pale juu kwenye notification bar kuna mojawapo inaitwa SMART VIEW kisha tafuta smart tv ya Samsung utakuwa unaangalia mpira saaafi bila kujisumbua na Dstv.
Yaani Mb zako tu
Karibu sana mkuu.
Ila nikushauri kitu kimoja.
Tafuta simu za Samsung pale juu kwenye notification bar kuna mojawapo inaitwa SMART VIEW kisha tafuta smart tv ya Samsung utakuwa unaangalia mpira saaafi bila kujisumbua na Dstv.
Yaani Mb zako tu
Hii timu kuna michezaji someti.ws inazingua sana. Bisaka kila akipata mpira anageukia lango lake, muda wote anawaza kurudisha mpira nyuma, ovyo nyambafu