CR7 anaoffer kitu ambacho vijana wengi pale UTD walishindwa,nipo safarini siangalii mpira nachungulia livescore. Nimeangalia nikakuta tumepigwa kimoja baadae nikapata notification kuwa tumesawazisha, wakati naangalia akili tayari ilikuwa inawaza "au ni Ronaldo nini?

"
Ile nafungua nakuta ni yeye, nafurahi sana Ronaldo alifunga sijui kwenu nyie. Kwangu mimi Man U kushinda ni habari zisizofanana kabisa na Ronaldo kufunga, namaanisha hata tukifungwa Ronaldo akitupia nafurahi tu


.
Baadae ya era ya kina Messi na Ronaldo soka, sidhani kama kutakuja kuwa na viumbe wengine watakao simbua dunia kwa miaka ya hivi karibuni.