Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii sub gani sasa dah
Sijawahi kuona kocha muoga kama sosha, una kikosi kipana, mechi ya watoto kama hii anapotoka mchezaji kwa kadi nyekundu wewe tia kuni, nilitegemea angemtoa vdb aingie Greenwood lkn yeye akatoa kiungo ameweka beki mana ake anawaogopa hawa watoto wadogo licha ya kuwa na kikosi kipana, sio kocha c lolote mbwa huyu.
 
Sijawahi kuona kocha muoga kama sosha, una kikosi kipana, mechi ya watoto kama hii anapotoka mchezaji kwa kadi nyekundu wewe tia kuni, nilitegemea angemtoa vdb aingie Greenwood lkn yeye akatoa kiungo ameweka beki mana ake anawaogopa hawa watoto wadogo licha ya kuwa na kikosi kipana, sio kocha c lolote mbwa huyu.
Ameifanya game kuwa ngumu, Young Boys washajiamini sasa
 
1st goal. CR7
1631644438115.gif
 
Back
Top Bottom