Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The biggest problem with me, ni kwamba ronaldo hakuwa kwenye mipango yetu, i seriously hate mambo ya kukupuka.
Ronalso ni human being, inamaana akipata matatizo inakuwaje sasa?
Ronaldo anakuongezea options za kupata mabao mengi zaidi.

Hakuna timu duniani ingemkataa ronaldo.

Kwa msimu ronaldo ana uhakika wa kukupa goli 25+ .
 
Role ya Pogba kwenye assists tunaisahau sana.

Kungekuwa na msimamo wa assists, Pogba angekuwa anaongoza.
Upo!

25D7EF26-C2DF-4F2B-9D36-81C2C42AA1FC.jpeg
 
The biggest problem with me, ni kwamba ronaldo hakuwa kwenye mipango yetu, i seriously hate mambo ya kukupuka.
Ronalso ni human being, inamaana akipata matatizo inakuwaje sasa?
Kocha alieleza baada ya kukamilisha deal la Varane kuwa any new signing would be a bonus. Usajili wa Ronaldo ni bonus tokea mwanzo
 
Back
Top Bottom