Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

chanzo: mumuppetiers
kwa tafsiri isiyo rasmi ya kiswahili inayotokanwa na uelewa wangu dhaifu wa lugha ya kiengereza
========================

inaonekana kuna ukosefu wa uelewa miongoni mwa mashabiki wa manchester united juu ya njia sahihi ya kutibu kikwazo kilichopo cha midfields, wengine wanapendekeza majina ya wachezaji mfano wa ruben neves, camavinga, Wilfried Ndidi na hata tanguy ndombele.

wengine wanakwenda mbali zaidi kwa kupendekeza majina ya baadhi ya wachezaji waliopo ndani ya kikosi kufanyiwa mabadiliko ya position za kiuchezaji kwa kuhamishiwa eneo la midfield, mfano wa wachezaji hao ni lindelof, wan bissaka na hata telles. However upande wa benchi la ufundi likiongozwa na solskjaer na uongozi wa klabu wameonekana kuridhika na hali iliopo ya midfield licha ya kuwepo kwa haya malalamiko ya kimaoni kupitia kwa mashabiki.

Nadharia kubwa inayotawala kwenye vichwa vya mashabiki wa manchester united ni kwamba hatuna midfields mwenye ubora kati ya wale wanaounda pivots (fred, scott, matic, pogba), nadharia hii ni ya uongo na hii ni kwa sababu takribani midfield wote wa manchester united wana viwango bora kama utaangalia takwimu tofauti na inavyozungumzwa, tatizo kubwa lililopo ni kukosekana kwa balance ya tabia (profile) za wachezaji wakiwa ndani ya uwanja kati ya wachezaji waliopo.

kwa sasa benchi la ufundi wanaona tayari timu imejaza box to box midfield hivyo basi kipaombele chao kikubwa ni kutafuta kiungo mwengine mwenye uwezo wa kukaa chini( sits a bit deeper) na pia kulinda safu ya ulinzi kinguvu (physicallity) na kimpira kwa kumiliki (possession) na kusambaza mipira (ball retention) huku pia akiwa na uwezo wa kuvunja uvamizi (pressing) wa timu pinzani.

kwa sasa klabu haihitaji kiungo mwenye uwezo wa kupress high kama ilivyo fred bali wanahitaji kiungo atakayekaa deep na awe na uwezo wa kukaa na mipira (hili ndio tatizo kubwa la fred), tufahamu pia benchi la ufundi hawaangalia pasi za mbele kama ni kipaombele chao katika kumtafuta huyo midfield (progressive pass), kwa wao wanahitaji ball retention na dribbling kama ni indicators nyenginezo za kumtafuta kiungo mwengine.

McFred partnership hutupa balance zaidi tunapocheza hii ni kwa sababu scott anakaa chini na fred anafanya press kwa wapinzani. McPogba partnership haitokupa pressing huku partnership ya pogba na fred haitokuwa na mtu sahihi wa kukaa chini na pia patakuwepo na ukosefu wa ball retention.

mchezaji pekee mwengine mwenye uwezo kukaa chini ni nemanja matic lakini tatizo kubwa alilonalo kwa sasa ni miguu yake haimruhusu kufanya kama yale aliyokwisha yafanya huko nyuma hususani alipokuwa chelsea ndani ya msimu wa 2016.

nemanja aliongoza kwa ball retention, duel, low disruption and recovery haliyakuwa amekaa chini (deep) with fantastic control of the ball, pia alikuwa ni miongoni mwa viungo bora kwa upande wa dribbling. Bila ya shaka hicho ndicho kigezo sahihi cha kulinganisha na midfield wengineo.

1630687739639.png

Nemanja Matic in his final season at Chelsea (credits: smarterscout)
 
The Muppetiers tunafahamu ya kwamba declan rice na Yves Bissouma ndio target lengwa eneo hilo la midfield baada ya kukamilika kwa mchakato wa kutatua tatizo la winga wa kulia na beki wa kati ila usajili wa mdifield haukupangwa kufanywa msimu huu ndio maana haikujishughulisha sana.

changamoto kubwa ya usajili wa declan rice ni thamani iliowekwa na timu yake, kwa upande wa bissouma klabu inahitaji kujiridhisha tena na kiwango chake (tukumbuke ni msimu mmoja tu ndio tumeshuhudia kiwango chake bora huku tayari akiwa na miaka 25 ya kuzaliwa).

usajili wa camavinga haukuwezekana kwa sababu mchezaji mwenyewe hakuonyesha nia thabiti ya kucheza manchester united, klabu ilijaribu kumsajili saul niguez lakini changamoto iliojitokeza ni mchezaji mwenyewe kutokuridhishwa na position ya kiuchezaji alioahidiwa (taarifa zinadai saul anapendelea kucheza mbele eneo ambalo tayari klabu ilishawekeza kwa paul pogba),
1630688413564.png


kuhusu ruben neves klabu haikujishughulisha sana kupata huduma yake kwa sababu analingana na fred hivyo basi hakuwa mchezaji sahihi kutokana roles inayotakiwa kutatuliwa, kukosekana kwa fedha ya mauzo ya wachezaji pia ikawa ni sababu ya kuzimwa kwa ajenda ya kusajili kiungo
 
ukifanya mlinganisho wa midfield wetu pendwa wanaounda pivots na hao wengine wanaotajwa mara kwa mara na mashabiki utagundua wanafanana kwa kiwango kikubwa sana kitakwimu hususan na fred.

They possess low ball retention with high pressure, high disruption, high recovery and poor dribbling. They are mainly box to box ball winners where they push up the field to press teams in order to win the ball and send the ball to the forwards or pass it back to the ball progressors.
1630688922687.png

Fred vs Ruben Neves and Aurelien Tchouameni (credits: smarterscout)
1630688965117.png

and Kalvin Philips (credits: smarterscout)​
 
tukiangalia kwa midfield lengwa ambao ni declan rice na bissouma kwa mujibu wa graph wanaonekana ni wachezaji wanaoka chini au nyuma lakini wana takwimu nzuri sana za ball retention and dribbling while being excellent duelers. They also show physical presences while anchoring the midfield.
1630689196275.png

Declan Rice and Yves Bissouma (credits: smarterscout)​
 
1630689326975.png

Scott McTominay would be the current midfielder that could be compared with Declan Rice and Yves Bissouma as the sitter, as he is fantastic on the ball and also a good in ball retention.

However, to fully occupy the sitter role, he needs to improve his link up passing and his positioning. With that being said, he too can play as the presser, if given the freedom to do so, as he has the ability to press and an added bonus in his shooting ability. This is another reason why Declan Rice and Yves Bissouma are targeted, as McTominay can also play as a partner to either one of them.
 
The next two graphs below would illustrate the comparison with Scott Mctominay, Fred, along with all midfielders that Manchester United have targeted or linked this summer.
1630689379771.png

1630689408024.png

Based on these two graphs, it is clear that Ruben Neves is definitely not the right profile Manchester United is looking for, as he will not have the ability to hold the ball and sustain any attacks, as he is more focused on pressing the ball and trying to start attacks himself with a pass to the forwards, thus losing the ball more often. Would Saul Niguez and Eduardo Camavinga do the job though?
 
Alternate Universe: Saul/Camavinga to Manchester United, Here We Go!
It is well known that Saul Niguez is the jack of trades and master of none, as he plays as a leftback or left wingback in recent Diego Simeone teams.

What if Saul agreed to play where Manchester United would ask him to play?
Based on the graphs above and the data below, he has the capability to play as a sitter. Although the data below is skewed due to him playing higher up on the pitch, he is good dueler with a good ball retention rating.
1630689483524.png
 
And what of Eduardo Camavinga had he grown up chanting United Road instead of dreaming about “Los Blancos“?
Manchester United would be able to shape him to be a sitter, as he is extremely good on the ball, while having very high ball retention rating, despite pressing high up the pitch.
View attachment 1922738
Huyu dogo namuonaga kama ana makeke tu ila sio aina ya mchezaji anayekuja kutatua matatizo.

Nimependa pia uchambuzi wako kupitia hizi takwmimu ulizoziweka. Japokuwa takwimu binafsi za wachezaji zinaweza kulingana lingana ila mchezaji kama Ruben Neves jinsi anavyo-link up na wachezaji wenzie uwanjani ni tofauti sana na Fred hata uwezo wake wa kuusoma mchezo upo juu sana kuliko Fred.

Binafsi, kama nafasi ya ku-trade Ruben Neves na Fred ikatokea siwezi kufikiri mara mbili juu kufanya maamuzi. Fred ni mchezaji average kusema ukweli ila anaonekana mzuri ni kwa sababu nafasi yake haina ushindani pale kikosini. Playing time anayoipata sio kwa ssb ya ubora wake.
 
Mara ooooooh Queen elizabert anataja jezi ya Ronaldo za kwanza ,..


Uongo mtupu ,acheni kuwa vilaza mazeee
 
Back
Top Bottom