Kwa mtazamo wangu, Lingard sio takataka. Endapo akipewa run of games kama za Martial, atakuwa na msaada sana katika timu. Anauwezo mkubwa wa kujiposition,running zake zinaeleweka, pia sio mvivu. Binafsi nisingependa kumuona akiuzwa.
Martial ni talented player, ila ni mvivu kuliko kawaida, huyu anastahili kukaa benchi ili apate hamasa ya kupigania namba.