Manchester United (Red Devils) | Special Thread

£75m down the drain?

Ni mapema kujudge,ngoja tuendelee kusubiri..namba zake akiwa BVB sio za kupuuzwa huyu Sancho...Though timu yetu inaonekana kama ina msimamizi tu wa kupasha misuli moto kwa hawa wachezaji.
 
McTominay tunamunderate sana kwenye kikosi chetu.
McTominay anahitaji cover mkuu..hawezi kucheza mwenyewe na let say mtu kama Pogba huku deep,the same applies to Matic..

Fred+McTominay atleast ila sio Mmoja tu acheze na Pogba.

Nadhani tumeona Fred+Pogba,,McTominay+Pogba,Matic+Pogba..timu inakuwa rojorojo kuliko maelezo..

Hiki kiungo chetu bado kitaendelea kutusumbua sana..
 
Mc Tominay tunamunderate sana kwenye kikosi chetu.

Jaribu kuangalia mechi ambazo hayupo uwanjani na akiwepo utaona tofauti kubwa iliyopo.
 
Mkuu Wan Bissaka bado namkubali wala sijamkataa kwasababu defensively ametusaudia mara nyingi.....

Suala la kutokuwa na uwezo wa kucheza mpira kwa utaratibu ili tupate matokeo linaboa sana.....ni kweli timu yetu haiwezi kupiga pass 6 za uhakika tukiwa eneo la adui bila kupoteza mpira
 
alafu ajabu anabaki ila anacheza game 8 na 3 anaingia dakika ya 85
 
View attachment 1917313
kurt zouma wamlipie paundi millioni 30 pia wanataka kumsajili tagliafico
eti lingard aliyewafungia magoli 9 tuwape kwa mkopo.
kwa hali hii ni bora lingard abakishwe, yaonekana west ham hawana heshima dhidi yetu
Shida sio west ham shida ni sisi

Mchezaji ana 29 years na anamaliza mkataba utoe 25 mill
Ah hapana mzee huyo lingard ni mpuuzi akisign mkataba mpya man utd maana sijui anahisi atacheza wapi
 
Waingereza wanauzwa? Ushaona wapi?

Wapo radhi walipwe bure waendelee kukaa benchi.

Angalia phil jones.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…