Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao madogo ndo mwisho wa uwezo wao.

Na kocha ndo kabisa uwezo wake umefika mwisho.
 
Ole kwa sasa na msimu huu hana kisingizio chochote kile cha kutokubeba hata carabao yani hana asituletee mambo ya boys mara build wala nini.
Timu iko vizuri ni kiasi cha kuchanga karata zake vyema tu watu tunao wengi tu msimu huu mpaka january hamna dalili za kubeba hata la Mbuzi wamuondoe tu hana tena kisingizio.
 
Yani man utd
Gonjwa kubwa sana hilo la kung'ang'ania wachezaji hovyo

Huyo DJ hana kitu kabisa lakini watu wanaogopa kumuuza sijui ole anataka nini yule mzee

Sema nimependa ronaldo alivokuja ...the guy is competitive na sidhani ole ataanza kuleta pigo za cr7 kukaa nje na martial aanze ...he may be a blessing in disguise

Cr7 wampe ucaptain tu sasa na obviously sidhani mtu kama yeye atakubali awekewe kikosi cha kipumbavu na ni mtu aliye na tamaa na mafanikio

So welcome cr7, Good riddance martial 9 aozeee benchi auzwe hell i dont care....
 
Nimeanza kuangalia mechi ya liverpool na chelses leo kuanzia dak ya 28.
Mechi ya chelsea na man city (final UEFA) niliangalia yote.
Niliangalia mechi ya man city na leistercity yote
Nimeangalia mechi zote mbili za man utd.

Kwa kifupi ni kwamba timu yetu man utd hatuna kocha.
 
 
Cr7 hatotumika inavyotakiwa kwa sababu kocha ni mbovu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…