D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Hii sentensi imebeba ujumbe mpana sana,hasa kwa sisi tunaojifanya kujua kwamba ushindi wa United unategemea zaidi wachezaji wameamkaje kuliko uwezo wa mwalimu kimbinu.— a team that can’t get out of it’s own half can’t buildup, can’t progress and therefore can’t create.
Kwani ana kikosi cha kwanza?Hii sentensi imebeba ujumbe mpana sana,hasa kwa sisi tunaojifanya kujua kwamba ushindi wa United unategemea zaidi wachezaji wameamkaje kuliko uwezo wa mwalimu kimbinu.
Sijawahi kuona Ole akiwa amefanya subs za beki zake kwamba wameshindwa kutekeleza jukumu flani kiulinzi au katika kushambulia hivyo anamtoa kumjaribu mtu mwingine.
Subs za Ole huwa zinajulikana tangu unaona kikosi chake cha kwanza.
Hii inaweza ikawa bahati kwetu tukapata DM kabla dirisha halijafungwa.
mahojiano ya juzi baada ya kumalizika kwa mechi anasema hajajua sababu ya msingi iliopelekea dakika 20 za mwisho timu kukosa mipango akiwa na maanaSijawahi kuona Ole akiwa amefanya subs za beki zake kwamba wameshindwa kutekeleza jukumu flani kiulinzi au katika kushambulia hivyo anamtoa kumjaribu mtu mwingine.
Subs za Ole huwa zinajulikana tangu unaona kikosi chake cha kwanza.
Namaanisha kikosi anachoanzisha kila mechi,tayari unajua dakika ya 60-70 nani atatoka na nani ataingia.Kwani ana kikosi cha kwanza?
ole ana tabia za uongo uongo pindi anapozungumza au labda tumpe sifa ya kuwa na tabia ya usiri.Hii inaweza ikawa bahati kwetu tukapata DM kabla dirisha halijafungwa.
Cavan na Varane kama atapenya kwenye kikosi cha kwanza.mahojiano ya juzi baada ya kumalizika kwa mechi anasema hajajua sababu ya msingi iliopelekea dakika 20 za mwisho timu kukosa mipango akiwa na maana
positive:
- hajui kama ni fitness
- hajui kama ni ishu ya tactics
- labda ni mabadiliko aliyoyafanya,fred alicheza ovyo lakini huyo aliyeingizwa baada ya fred ndio alizidi kutufanya tuwe ovyo
nahisi kama tumeimarika eneo la setpiece japokuwa bado ni mapema, tatizo lililopo ni kukosekana kwa mtu sahihi wa kutumia faida ya mipira ya kichwa
pogba, maguire, rashford, martial ni useless kwa mipira ya kichwa labda tumsubirie cavani
upo sahihi, njia pekee ni kurudi tena nyumbani kwao kujisuka upyaHapa ndipo unajiuliza ule mkataba wa chapchap aliopewa Ole miezi miwili iliyopita walikuwa wanaharakia kitu gani!
Nina uhakika Ole akitemwa na United hawezi kupata timu tena pale premier league,achilia mbali uwezekano kwamba timu pinzani ingevunja mkataba wake.
Nimekusoma hapoNamaanisha kikosi anachoanzisha kila mechi,tayari unajua dakika ya 60-70 nani atatoka na nani ataingia.
Sura za sub ni zile zile ndio maana itamuwia vigumu Don kupata namba united.