Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Upande mwingine zimetufelisha sana damchanga kidogo van persie mdogo(greenwood Mason) amekiwasha kwelkwlHizo damu changa ndy zimetufiksha hapa.
Kwa miaka yote.
Cavan ni Mzee na hajapata game time nyingi.
Lakini amefunga magoli Mengi kuliko rashford na martial.
Sasa ujana wao utasaidia nn?
Hyo ndy game changer...ataingia kuja kuleta ile come back..Upande mwingine zimetufelisha sana damchanga kidogo van persie mdogo(greenwood Mason) amekiwasha kwelkwl
Apo kinachofanyika ni kuwatembezea tu moto wapinzani..Hyo ndy game changer...ataingia kuja kuleta ile come back..
Atatoka Sancho au rashford..
Lazima tuweke silaha nje.
Wapinzani wao ndy wataamua wabane miguu au wajiachie tuwamwagie nyingi..Apo kinachofanyika ni kuwatembezea tu moto wapinzani..
Nilichungulia jukwaa la wapinzani wa man u EPL..Hongereni wadau kwa kulipamba jukwaa!! Hope wote humu mko poa,CR7 karibu tena nyumbani.
#GGMU
City hawakuwahi hata kutoa proposal mzee acha kudanganya watu...Ronaldo alikuwa ameshakubali kulipwa £270,000/= per week city ,kwan alikuwa amekubali project ya city ....
Lakini nyie nyumbu from no where bila hata kufikilia mna mpango gani ,wivu ,chuki na kisebengo kinawawasha mmeamua kumpa ronaldo £480,000/= per week ,then mnasema anaipenda united .....
Wakati mmeamua kumpa mkwanja mrefu kikongwe wa miaka 36 ....
Yaan huu usajili unaenda kubuma ....
Eeeeeh Mungu nisaidie .......
Ni roho mbaya tuuuuNilichungulia jukwaa la wapinzani wa man u EPL..
ni vilio vitupu..na mayowe yalisikika.
Wengine wamekwenda mbali zaidi wanasema CR 7 atatusumbuwa sna EPL.
wengine wakimlaumu Giudiola kwa.kushindwa kufanikisha kumchukuwa CR 7..
nikashangaa sn yaani timu kama arsenal,chelsea,liverpool zinaona bora CR 7/ angeenda man city kuliko CR7 kuja man u..
Mkuu posts zako za nyuma zote unataka tusajili DM wa uhakika leo imekuwaje DM asihitajike ?Mkuu,,,kwa kiungo wa ulinzi sio shida sn kwa sasa.
Tutacheza 4 -4--2..
Cr 7 na cavani 9.
Wote watakuwa up front.
Ni wao timu pinzani wanapaswa kujilinda na sio man u..
Man u ni attack ,,attack..
Martial anapaswa akabidhi no CVN 9 kwa cavani...
Ronaldo apewe CR7..
Pogba na Bruno wanacheza kati..
Kwani Bruno huwa anafunga penalty tu ?Mwenye penalty zake karejea, inabidi Bruno ajifunze kufunga magoli ya aina nyingine.
Kafanya nini mkuu.Ruben Neves
Here we go
Atulie huko,Kwani yeye ndo anamlipa?City hawakuwahi hata kutoa proposal mzee acha kudanganya watu...
Man united kumpa Ronaldo hata milion wewe unaumia nini nawewe tafuta leged wako wa miaka 36 umpe kama unaona tunafaidi
Tumekuelewa mama RonaldoMmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale
Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi
Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena
Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja