Lukaku ni mkubwa kwa mwili ila katika mpira hata Mo Salah na Sadio Mane hawagusi hana medal yoyote wala tuzo yoyote zaidi ya Serie A a farmers' league where even chubby girls would score goals.Wazee wa Chelwowo ndo wanataka kutuaminisha lukaku ni Big name hahaha
Huwezi kuwa na bahati bila kujituma.Hakuna kitu au jambo lolote lile chini ya dunia hii likakosa bahati, hata hao wazungu wenyewe wanajua hilo na wanaiita lucky, sisi tumekosa kujituma na bahati pia na ndiyo maana unakuta tunapigiana penalti 10 zote zinaingia ila yetu ya 11 tunakosa.
Wapo wasiojituma ila wana bahati mkuu umemsahau Martial?Huwezi kuwa na bahati bila kujituma.
Nimeuliza pale kuja kwa Ronaldo kutaongeza au kupunguza laissez faire attitude ya Ole ?
jota ndo jina kubwaWazee wa Chelwowo ndo wanataka kutuaminisha lukaku ni Big name hahaha
Huu usajili japo mzuri ila ni wa KudandiaSijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?
Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.
Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.
2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.
3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.
4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.
5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.
6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.
Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???
Welcome the GOAT.
Atakapowafanya ndipo utakaposema ShikamooLukaku nalo ni jina kubwa ???
Hebu acha bangi
Kwa taarifa yenu ili ronaldo avae jezi namba 7 ,lazima Cavan aondoke united ,vinginevyo mtakuwa mnavunja sheria EPL ...
Mimi naona ronaldo mmupe jezi namba 98 hukooo...hahaaaa
Halaand inasemekana psgCristiano Ronaldo karudi Man U.
Messi yupo PSG.
Romelu Lukaku yupo chelsea.
Kylian Mbappe mda wowote atakua Madrid.
Harry kanne still yupo spurs.
Grelish yupo Man City.
Benjamin Mendy in jail kwa ubakaji.
Arsenal wapo wapo tu hahahaha dah by the way what fantastic transfer window.
Kichekesho kingine kama hicho cha namba 5 tubonyeze ngapi.?Msimu huu bana, majina makubwa kwenye uhamisho
- Leo Mesi to PSG
- Rom Lukaku to Chelsea
- Cristiano Ronaldo to Man United
- Kylian Mbape to Real Madrid
- Usishangae Erling Haaland to Arsenal
Mkuu ndio sheria zinasema hivo ,Cavan kashasajiliwa hawezi nyanganywa namba 7 kizembe bila sababu ya msingi ,either aondoke ..How mkuu?
Nakuona mkuu unatembeza likes kama njugu maweMimi leo natembeza like tu
Nipo tayari kumbeba Martial mgongoni mpaka Emirates bure..Wakumbukeni ndugu zeny Arsenal kwa kuwapa hata kwa mkopo
Weka hapa hiyo sheria.......Mkuu ndio sheria zinasema hivo ,Cavan kashasajiliwa hawezi nyanganywa namba 7 kizembe bila sababu ya msingi ,either aondoke ..
Hakuna namna nyingine ya ronaldo kuvaa jezi no 7.....
Unamwekaje Pogba nje wakati una Tonaldo ndani?Mabadiliko sasa kutokea
- Namba 7 ya Cavani je atanyang'anywa ili apewe Ronaldo
- Mpiga penalti ni Fernandes je Atanyang'anywa ili apewe Ronaldo
- Je Nani atawekwa benchi kwa ajili ya CR7? ni Martial, Greenwood au Pogba?
Jombaa, Ktk dirisha tulilowahi kufanya vizuri basi hili lipo very strategic nina uhakika Cristiano Ronaldo tumemchukua ili kuongeza hali kujiamini kikosini.Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?
Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.
Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.
2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.
3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.
4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.
5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.
6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.
Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???
Welcome the GOAT.
Juzi nimeangalia game yenu nikaona mchezaji kipara nikajua usajili mpya bana. Kuja kucheki vizuri kumbe mashialiNipo tayari kumbeba Martial mgongoni mpaka Emirates bure..