D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Hivi ni vikao vya ndani vya kimkakati vinavyoongozwa na mkurugenzi wa ufundi kupanga mkakati wa usajili kwa ajili msimu ujao huwa vinaanza kukaa mapema.habari za jioni waungwana munaopatikana humu ndani, aliyeelewa anielewesha hii tweet
View attachment 1907842
nilichokuwa nataka kufahamu ni kimoja tu, mbio zetu za kutafuta mchezaji mwengine ndio zimeisha kwa msimu huu hivyo ndio tunajiandaa na msimu ujao?Wajumbe wa hicho kikao ni DOF, TC, technical staffs na regional head of scouts. Baada ya hapo ni task assignments kwa wajumbe kama watafanya head hunting (e.g Erling Haaland) au lah.
Bado tuko naye, ila we Jamaa yani hata huchoki kusisitiza huu msemo wako...Bado hajafukuzwa tu...
Nitachoka tu we subiriBado tuko naye, ila we Jamaa yani hata huchoki kusisitiza huu msemo wako...
Tukiamua kuwa wakweli kwa maendeleo ya timu yetu, Ole anapwaya parefu mno kwenye ile siti.Tatizo la Ole ni lile lile misimu yote.
Laissez Faire Attitude tunapoteza mechi kwa sababu mwalimu na timu yake anaamini atashinda tu bila kupambana.
Mimi sina shida nae kimbinu ila shida yangu ni amerelax sana to the extent ya timu kukosa sense of urgency uwanjani.Tukiamua kuwa wakweli kwa maendeleo ya timu yetu, Ole anapwaya parefu mno kwenye ile siti.
Sioni positivity yoyote tofauti na mwaka jana kwenye mbinu zake.
Kabla sijamaliza kusoma bandiko lako tayari nime mfollow twitter.twitter nimefollow account nyingi sana kupitia sekta tofauti zikiwemo michezo, siasa, teknoloji, history n.k
ila moja kati ya account inayonivutia sana ni ya huyu mwanadada anayeitwa Maram AlBaharna, ni mshabiki wa manchester united kama mimi, amehitimu Economics and Management Student at London School of Economics,ana silaha nyengine muhimu ambayo mimi sina nayo ni data analyst (hii elimu imenivutia sana ila sijawa tayari kujifunza)
....jinsi anavyofanya analysis za wachezaji na kiuchezaji kwa timu husika hususani man utd hunifanya nijiulize mara mbili mbili.
je mimi naangalia mpira au napoteza muda kwenye tv?
baada ya kumalizika mechi ya southampton amekuja na bandiko litakalofuata nitakalolishusha kidogo kidogo kwa lugha ya kiengereza, sitoweza kuliweka kwa lugha ya kiswahili kwa kuhofia kuliharibu kimaana.
kwa muda mrefu humu ndani tumekuwa na mijadala yenye kujirejea mara kwa mara, mara tatizo ni beki, mara tatizo ni DM, mara tatizo ni winga na blah blah nyenginezo.
je tatizo letu kubwa ni lipi.
nifuatilie kidogo kidogo
fuentte mtafute huyo dada hapo twitter hutojutia
Ni bahati mbaya sana huwa tunaangalia matokeo ya mwisho lakini kiuchezaji timu yetu huwa inapata shida sana kutengeneza clear cut chances pindi tukikutana na timu zisizoogopa majina makubwa ya wachezaji wetu.tuna matatizo ya wachezaji mmoja mmoja wasiofiti kabisa kwenye mapambano haya yanayoongozwa na makocha wa kisasa, vile vile tuna matatizo ya kiufundishwaji na kwa maana hiyo hata kama OLE atapewa DM kama makelele/ kante na mshambuliaji zaidi ya ronaldo de lima basi bado hatoweza kuifanya man utd iwe juu kiuchezaji zaidi ya liverpool, man city au chelsea hii ya tuchel
subirini mechi zifuatazo tutakapocheza ndipo mutakapofahamu ninachokizungumza
- liverpool - nyumbani na ugenini
- brighton - ugenini
- man city
- leicester city - ugenini
- chelsea (baada ya kuja tuchel)
- hata arsenal wanatushughulisha sana kimpira pindi wanapoamua kupress kuanzia juu
Kwenye build up yetu,tuna watu 5 wakati wanaopress wana watu 6!
iangalie hiyo video kwa umakini ndipo utafahamu anachokizungumza
Mipira inatembea taratibu mno kutoka nyuma kwenda mbele.Tatizo la Ole ni lile lile misimu yote.
Laissez Faire Attitude tunapoteza mechi kwa sababu mwalimu na timu yake anaamini atashinda tu bila kupambana.
Hapana. Malengo ya msimu huu ilikuwa beki wa kati (must), mshambuliaji wa pembeni (must) na kiungo wa kati (necessary but not priority). Technically, 90% ya target waliyojiwekea wamekamilisha. Sidhani kama tutafanya usajili mwingine tena.nilichokuwa nataka kufahamu ni kimoja tu, mbio zetu za kutafuta mchezaji mwengine ndio zimeisha kwa msimu huu hivyo ndio tunajiandaa na msimu ujao?
Ukiachana na picha zake sijaona taarifa yeyote juu ya maendeleo ya afya yake, ngoja niende reddit pengine tunaweza kupata ubuyu, au tumsubirie Ole siku ya Ijumaa atatoa updates.Daemushin, leo nimeona Marcus Rashford kafanya mazoezi mepesi Carrignton. Nifungue hapa nini kinaendelea si alipaswa kurudi baada ya wiki 8?