Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United ni mabingwa mwaka huu baada ya kuona mabingwa wazamani wachovu hakuna maelezo
PSX_20210815_202325.jpg
 
Nyie manyumbu hamna uwezo wa kuizuia Chelsea tutawachakaza Sana nyie kuwafunga hao magoli mengi ni kawaida hata msimu uliopita mliwafunga.ila Sisi Chelsea tutawachakaza nyie Sana.
 
Tofauti ya Chelsea na Manchester United ni kwamba Chelsea tuna kocha bora.mna kikosi kizuri but Chelsea tuna kikosi kizuri zaidi kila eneo tupo vizuri.
 
Back
Top Bottom