Usikeleke!! Mbona km hoja zenu wote zinafanana? Yeye anajaribu kueleza kuwa hao wote ni viungo wa kati (Central Midfileders). Kinachowatofautisha ni roles & positions wawapo dimba.Mkuu unaubishi wa kitoto sana na unaokera sana sometimes.
Kunatofauti kubwa sana kimajukumu kati ya DM/CDM, CM na CAM.
Unajua nini maana ya kiungo mkabaji ?
Unajua nini maana ya kiungo wa mchezeshaji ?
Unajua nini maana ya Kiungo Mshambuliaji?

