Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahaa Degea hakuna timu inayoweza kumudu mshahara wake ($375k/weekly). Naamini ataleta instability eneo la golini msimu ujao, Ole atarudia ujinga wake wa kutokujua golikipa wake #1 ni yupi. Hii itawafanya wote wawili wawe wabovu zaidi watapoteza kujiamini wote.
Spain wameshamtengenezea mazingira ya kuwa goal keeper namba mbili kwa timu zote anazozitumikia
upo uwezekano wa kupewa asilimia 30 tu za mechi msimu ujao
 
Hata mimi nimeshtuka sana nilipomuona leo nikajiuliza mara mbili mbili. Touch zake sio za kubahatisha kabisa.
fullback wa Italy alikuwa hasogei mbele, walichokua wanakosea belgium ni kulazimisha mashambulizi yao kuanzia upande wa kulia. Eneo ambalo ndio lililobeba nguvu ya Italy kuanzia kiulinzi hadi mashambulizi

chiellini + spinazzola + insigne​
 
Ducker (Tier 1)
#MUFC have paved the way for the departure of either David De Gea or Dean Henderson this summer. It's still a far from straight forward situation mind
 
Hahahahaa Degea hakuna timu inayoweza kumudu mshahara wake ($375k/weekly). Naamini ataleta instability eneo la golini msimu ujao, Ole atarudia ujinga wake wa kutokujua golikipa wake #1 ni yupi. Hii itawafanya wote wawili wawe wabovu zaidi watapoteza kujiamini wote.
Baada ya De gea kuonyesha decrine,
OLE aliamua kumpa nafasi Henderson ili ajue uwezo wake.
Ndio maana Henderson kacheza mechi za EPL.
Huku de gea kacheza za Europa.

Sasa hapo sioni kosa la OLE, labda wewe ulitaka afanye nini mkuu.??
 
So far, hii michuano ya euro kuna bwana mdogo wa ki-Belgiji anaitwa Jeremy Doku ameni-surprise sana. Sikuwahi kumfahamu kabla ila ana kipaji kikubwa sana.
anadribling nzuri sana na hachoki mapema muda wote anakimbia, workrate ya juu sana lakini end product yake sio nzuri, cross zake hazifikii walengwa, mashuti yae sio accurate sana (anapaisha) ila ndio kwanza ana 19 labda ataimprove katika hizo eneo mbili
 
Greenwood unambeba utaifa, na siunajua sisi ngozi ya tako thamani yetu iko chini!

Ningependa jamaa (Amad) angeenda kwamkopo timu yeyote pale EPL ili apate uzoufu wa ligi.
Tuweni wakweli Mason Greenwood ana uwezo mkubwa sana kumlinganisha na Amad tu ni tusi kwake.

Kitakwimu anamzidi Amad mbali sana hata Amad mwenyewe hawezi kujilinganisha na Greenwood.

Amad daraja lake ni akina Elanga, Shoretire na Hanibal Mejbir
 
Me mwenze huyu mwamba sijawahi kumuona langini hata siku moja.
Hata mwaka tulio msajili siujui, sijui tulimsajili kutoka Club gani, yani naishia kumuona mitandaoni tu.
Msimu wake watatu huu amecheza mechi mbili tu na moja alitokea Sub ya pili alicheza na Fk Astana akafungwa.

Kifupi jamaa ni shati tu sema ndiyo hivyo timu yetu haina mwelekeo wowote.
 
Msimu wake watatu huu amecheza mechi mbili tu na moja alitokea Sub ya pili alicheza na Fk Astana akafungwa.

Kifupi jamaa ni shati tu sema ndiyo hivyo timu yetu haina mwelekeo wowote.
Yani ndani ya misimu mitatu kacheza game mbili tu?
Yanini sasa kuendelea kumlipa pesa mtu kama huyo!

Duh, kweli kwenye maisha kuna watu wanakula kwa njia ya posta.
 
Back
Top Bottom