Kuhusu Werner hapana, huyu ni Rashford in blue shirt.Huwa siangalii game za chelsea ila yule werner angekua na urefu wa rashford dunia nzima ingizizima maana dogo ni typical lewandoski kabisa.....
We na ufupi ule lakini bado wanampigia mipira mirefu na ikimkuta site anaizima vizuri tu
Labda alimaanisha mwingine.Dahhhh yaan una compare Warner na lewandoski..Dahhhh am speechless
Werner na Rashford wanlingana urefu.Huwa siangalii game za chelsea ila yule werner angekua na urefu wa rashford dunia nzima ingizizima maana dogo ni typical lewandoski kabisa.....
We na ufupi ule lakini bado wanampigia mipira mirefu na ikimkuta site anaizima vizuri tu

★
Kuna mashabiki wa timu pinzani mna mambo ya kipumbavu, mnaweza kufanya mambo bora zaidi ya kutania wazazi wa watu......mnang'ang'ania kwani humu ni vyumbani kwenu........as long as mnakuja kwa hoja na lugha chafu jamaa yupo sahihi kuwatukana.
Na sijaona sehemu Billions akimtukania mtu mzazi sio kama hawezi noo.
Mtu unakuta mara mapicha ya ajabu yana 300kb hata 20 hata maelezo hayana mara nyumbu etc mnaboa bhana.
mmechukua ubingwa hongereni mtulie majumbani kwenu sasa, mbona mashabiki wa Liverpool hawanaga mambo ya ajabu ya matusi hapa jukwaani.
Tottenham wamchukue Anthony Martial watupe Son na mpunga kidogo.Tottenham want Anthony Martial and are willing to pay up to €35m, a figure that #mufc consider insufficient. They want at least €40m. [Fichajes]