Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Solskjær: "Can #MUFC call this season a success? No."
"We have to improve, it's that simple. You have to win finals for it to be a good season." ★

#GGMU

manutd |
 
★At 34 years old, Edinson Cavani has scored in a major European cup final for the first time in his career, becoming the oldest player to do so in Man Utd’s history.★

#GGMU

manutd |
IMG_20210527_094053_111.jpeg
 
Mashabiki wa Man U, tuendelee kuwa na imani na Sosha kwani bado anasuka timu. Hakuna ulazima wa kumleta kocha mwingine hata Conte hafai kuja pale.
 
Hivi nyie man utd ole kawapa nini mbona hammfukuzi ..

Angekuwa kocha mwingine kashatimuliwa aisee ,sio kawaida kabisa MO aliwapa FA,EUROPA ,akahakikisha mnamaliza top 4 ,lakini mlimtimua hivi ole ana nini ??

Hana mbinu kabisa ,kwa mtu anayeangalia mpira ole sio kocha jamni ,daaa

Toka 2018 -2021 ...

Ole kakosa nusu final 3 ..

Katolewa uefa group stage kwa kushindwa kupata point moja mbele ya Leipzig..

Kaongoza league kwa zaidi ya point 10 ,lakin mpaka sasa sijui pep alimpitaje kwa gape lote lile...

Leo anapoteza final Europa mbele ya timu ambayo ipo nafasi ya 7 laliga ,villarial ...

Ukiangalia sub alizofanya jana ole utajua kabisa ,hana kitu kichwan ole ,ni empty headed kabisa ,TIMUENI ile takataka

Au kwa vile ni legend?? Anakula bata na fergusion ?? Ndio maana man utd hamtaki kumfukuza ....

Angekuwa kocha yeyote nakwambia asingekuwepo mpaka sasa...

Manajisifu kumfunga man city tuu



Bado hamjamfukuza tuuuu??????


Hii man utd sioni ikifanya kitu chochote chini ya ole ,walahi ,
 
Back
Top Bottom