Bailly akiumia hii mechi means jumatano ni Lindelof+ Tuanzebe...oloooooo
Aiseeeh bora wapigwe leo waikose top four, alafu fainali UEFA wapigwe tena maana Wana mdomo sanaKuna mtu wa Chelsea huwa anapiga kelele sana kwenye uzi wetu. Aston villa ameamua kuwaharibia tu huko.
.Liverpool wamshukuru Gareth Bale aliyefunga mabao mawili baada yakuingia dimbani View attachment 1795461
Picha unayo ila kusoma hujui liverpool yupo na GD nyingi zaidi ya hao wenzake, kwaio Leceister alikua anaenda na maji vyovyote vileLiverpool wamshukuru Gareth Bale aliyefunga mabao mawili baada yakuingia dimbani View attachment 1795461