Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mzee baba kumbe upo?..tupo fainali ya Europa bana..
Nilikutana na changamoto za Dunia, lakini namshukuru mungu nimezishinda.
Mjengoni nimerudi jana, nashukuru kuwakuta wana chama wenzangu muko fresh.

Kuhusu Europe, tunachukua bila pressure, japo tunasuasua lakini naimani mpira wa Europe umehamia England, hispain mpira umesha hama.
 
Umerudi mkuu mana watu walikuwa na wasi wasi huenda machimbo yamezingua, eti yamekula kichwa anyway ur welcome again.
Ha ha ha ha ha ha, mkuu kufa kulala kaburi tuta, hulijui hilo?

Mwa huu mwezi wa tatu tumepoteza waponcha wengi (kumi na sita kwa kukisia) mabox matatu yali katika na kusababisha mahafa hayo, namshukuru mungu niko mzima.

Walinikamata tu maporini (poli ni la mzungu) na kunihukumu miezi sita lakini namshukuru mungu kuna jamaa yangu wa kisukuma kapiga pessa kaja kunilipia, ila nimekunywa uji mwezi mmoja na siku kumi na nane.

Pessa tamu ila tusio na elimu tunazitafuta kwa mbinde, we acha tu, mungu mwenyewe anaona.
 
Ha ha ha ha ha ha, mkuu kufa kulala kaburi tuta, hulijui hilo?

Mwa huu mwezi wa tatu tumepoteza waponcha wengi (kumi na sita kwa kukisia) mabox matatu yali katika na kusababisha mahafa hayo, namshukuru mungu niko mzima.

Walinikamata tu maporini (poli ni la mzungu) na kunihukumu miezi sita lakini namshukuru mungu kuna jamaa yangu wa kisukuma kapiga pessa kaja kunilipia, ila nimekunywa uji mwezi mmoja na siku kumi na nane.

Pessa tamu ila tusio na elimu tunazitafuta kwa mbinde, we acha tu, mungu mwenyewe anaona.
Dah pole sana mkuu.
 
Daah! Pole sana mwamba. Niliona kimya sana ata kwenye namba yako nilikuwa sikupati kabisa. Karibu sana, ila Chelsea wako fainali ya UEFA.
Ha ha ha ha ha ha, mkuu kufa kulala kaburi tuta, hulijui hilo?

Mwa huu mwezi wa tatu tumepoteza waponcha wengi (kumi na sita kwa kukisia) mabox matatu yali katika na kusababisha mahafa hayo, namshukuru mungu niko mzima.

Walinikamata tu maporini (poli ni la mzungu) na kunihukumu miezi sita lakini namshukuru mungu kuna jamaa yangu wa kisukuma kapiga pessa kaja kunilipia, ila nimekunywa uji mwezi mmoja na siku kumi na nane.

Pessa tamu ila tusio na elimu tunazitafuta kwa mbinde, we acha tu, mungu mwenyewe anaona.
 
Ubingwa wa Europa league tutabeba Jombaa. Haya matokeo tunayoyapata kwa sasa wachezaji wetu wapo ktk relaxation mood.

Tayari walikuwa wameingia top 4 kabla ya michezo minne ya mwisho hakukuwa na haja yoyote ile ya kukamia unless for "ego massaging" ya kumaliza nafasi ya pili. Kitu ambacho hakina maana, EPL mtu wa pili na wanne hakuna tofauti.
Kuna tofauti kwa wa nne. Anaanzia chini kidogo. Mechi 2 zaidi
 
Adjustments.jpg
 
Back
Top Bottom