Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vipi c ulisema mechi yenu na Chelsea ndio itatoa picha kamili ya fainali au sio wewe mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tumepoteza game mbili dhidi ya Chelsea ,ila man city bado tuko bora sana ,na bado ninaiman kubwa sana kuhusu CL ,hatukuwa na bahat ,open penalty tunakosa wazi wazi ..

So tumejifunza namna ya kuwakabili CL final ...

We go ..

Cityzen chairman
 
Sisi Aston Villa tunasema hivi, hiyo nafasi ya pili ni ya Chelsea sio nyie NYUMBU.
20210509_044717.jpeg
 
Mkuu tumepoteza game mbili dhidi ya Chelsea ,ila man city bado tuko bora sana ,na bado ninaiman kubwa sana kuhusu CL ,hatukuwa na bahat ,open penalty tunakosa wazi wazi ..

So tumejifunza namna ya kuwakabili CL final ...

We go ..

Cityzen chairman
Mkuu ile penalty kwanza haikuwa halali kama umaweza kureview review tena. We kubali umefungwa jiandae na mechi yako na nyukasto ya Chelsea huwezi
 
Back
Top Bottom