Mkuu tumepoteza game mbili dhidi ya Chelsea ,ila man city bado tuko bora sana ,na bado ninaiman kubwa sana kuhusu CL ,hatukuwa na bahat ,open penalty tunakosa wazi wazi ..Vipi c ulisema mechi yenu na Chelsea ndio itatoa picha kamili ya fainali au sio wewe mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi mkubali maguire hata siku mojaSijawahi kumkubali Lendlof hata siku moja.
Ni kweli mana pasi zinapigwa zinapita tuu.Cavani angekuwepo pale kati tungeshashinda mapema tu in my opinion.
GGMU
pole bhana mkuuCavani angekuwepo pale kati tungeshashinda mapema tu in my opinion.
GGMU
Muulize hivi je, amepata mbinu ya ku unlock defense ya Chelsea? Akikujibu unitag.Vipi c ulisema mechi yenu na Chelsea ndio itatoa picha kamili ya fainali au sio wewe mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona uliisahau kdg hii kauli mbiu yako mkuuBado hajafukuzwa tu.............
Ajitahidi basi ili akifukuzwa aseme mafanikio yake makubwa ni kuishia nafasi ya pili





Walinisahaulisha malofa hawa.......
Mkuu ile penalty kwanza haikuwa halali kama umaweza kureview review tena. We kubali umefungwa jiandae na mechi yako na nyukasto ya Chelsea huweziMkuu tumepoteza game mbili dhidi ya Chelsea ,ila man city bado tuko bora sana ,na bado ninaiman kubwa sana kuhusu CL ,hatukuwa na bahat ,open penalty tunakosa wazi wazi ..
So tumejifunza namna ya kuwakabili CL final ...
We go ..
Cityzen chairman

