Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni ngumu sana kuzipiga hizi tim ban na player wao kushiriki
Hakuna sponsor yeyote atakaekubal kuweka hela ya maana katika ligi ambayo haina top club, kwenye word cup ni ngumu kwa adidas na co kudhamini michuano ambayo haina masuperstar no messi,no ronaldo, no pogba etc

Hapa wakae mezani tu, wajadiliane bora hata iwe inafanyika baada muda flan like euro, world cup
Kweli mkuu..

Waliousuka huu mpango wameshayaona haya ndo maana wanapush kwa nguvu sana hii ishu.
 
busara inahitajika sana kwenye hili pambano linaloendelea, FIFA na UEFA wakae chini wajadiliane na hao jamaa walioushikilia mchezo wa soka kwenye mikono yao. kwangu naamini tatizo kubwa lilianzie pale waliporuhusiwa matajiri wawe na umiliki mkubwa wa hisa kwenye hivi vilabu
=========
anaandika Mohamed Bouhafsi, mmoja kati ya waandishi maarufu sana pale ufaransa na duniani kwa ujumla
Last night, when 12 big clubs of the Superleague announced resignations from ECA (association of European clubs). They also resigned from all UEFA committees and panels with Agnelli leaving the ECA management, Nasser Al-Khelaifi becomes it’s executive boss.
========

kwa nini PSG wamesusia huu mpango, nadhani ni kwa sababu hizi zifuatazo na si kwamba waarabu wao ni watu wanaofuata maadili.
  1. kombe la dunia linafanyika Qatar 2022
  2. bein sport ina hati miliki kubwa ya kuonyesha michuano ya Uefa, wamiliki wa PSG ndio wanaoishikilia bein sports
Kwa case ya Bayern munchen na timu kubwa za Germany imekaaje hii mkuu
 
Huu mpango unaonekana umesukwa kwa ustadi mkubwa na kwa muda mrefu sana.
Kama eufa/FIFA waliliona hili tangu mwanzo kwanini hawakuchukua hatua kuzuia mianya ya hawa jamaa kuwavuruga vibaya hivi? Kwa sasa inakua kama na wao ni sehemu ya huu mpango sema wanafunika kombe tu Ila baadae watakubaliana na hili.
 
IMG_2148.jpg
 
★Wazo zuri mkuu hapa wangefanya kila baada ya misimu miwili au mitatu wanacheza hiyo Ligi yao huenda itawaingia watu akilini na kukubali hili wazo lakini wakisema kila msimu wacheze huu unyonyaji utakuwa mkubwa kati yao na hivi vilabu vidogo vidogo★
Ni ngumu sana kuzipiga hizi tim ban na player wao kushiriki
Hakuna sponsor yeyote atakaekubal kuweka hela ya maana katika ligi ambayo haina top club, kwenye word cup ni ngumu kwa adidas na co kudhamini michuano ambayo haina masuperstar no messi,no ronaldo, no pogba etc

Hapa wakae mezani tu, wajadiliane bora hata iwe inafanyika baada muda flan like euro, world cup
 
Breaking | Champions League and Europa League's matches canceled temporarily

| The teams can be kicked out of #UCL and #UEL with IMMEDIATE effect.

| If that happens.

-PSG will be crowned #UCL champions or the season will be called void.
-The #UEL final will be between Villarreal and Roma. ★

#GGMU
IMG_20210419_132155_800.jpeg
 
★Joel Glazer: "By bringing together the world’s greatest clubs & players to play each other, the Super League will open a new chapter for European football, ensuring world-class competition & facilities, & increased financial support for the wider football pyramid."★

#GGMU

manutd |
IMG_20210419_132208_268.jpeg
 
★European Super League:-


Chairman -
Florentino Perez [Real Madrid]
Vice-Chairman -
Stan Kroenke [Arsenal]
Vice-Chairman -
Andrea Agnelli [Juventus]
Vice-Chairman -
John W. Henry [Liverpool]
Vice-Chairman -
Joel Glazer [Manchester United]★

#GGMU

manutd |
IMG_20210419_131719_660.jpeg
 
UEFA say every club and player participating in the Super League will be banned from all UEFA and FIFA competitions. UEFA will sue every club participating €50-60 billion [SkySport]★

#GGMU

manutd |
 
★Super League: "Following the Group stage, 8 clubs will qualify for a knockout tournament, playing home and away until the single-match Super League championship, in a dramatic four-week end to the season"★

#GGMU

manutd |
 
BREAKING: The Super League clubs will not be kicked out from this season's European competitions. Real Madrid, Chelsea and Manchester City will compete in the #UCL and Manchester United and Arsenal will compete in the #UEL as scheduled..★

#josefelixdiaz
#Marca

manutd |
IMG_20210419_135548_468.jpeg
 
Back
Top Bottom