Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Kweli mkuu..Ni ngumu sana kuzipiga hizi tim ban na player wao kushiriki
Hakuna sponsor yeyote atakaekubal kuweka hela ya maana katika ligi ambayo haina top club, kwenye word cup ni ngumu kwa adidas na co kudhamini michuano ambayo haina masuperstar no messi,no ronaldo, no pogba etc
Hapa wakae mezani tu, wajadiliane bora hata iwe inafanyika baada muda flan like euro, world cup
Waliousuka huu mpango wameshayaona haya ndo maana wanapush kwa nguvu sana hii ishu.
Breaking | Champions League and Europa League's matches canceled temporarily
| The teams can be kicked out of #UCL and #UEL with IMMEDIATE effect.

Chairman -
UEFA say every club and player participating in the Super League will be banned from all UEFA and FIFA competitions. UEFA will sue every club participating €50-60 billion [SkySport]★