Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Interestingly all have MANUTD DNA
Hapo ndio vita ilipo,Super League
Mimi kama shabiki sijaona nitakwazika vipi na hii elite championship
Nawaelewa UEFA, FIFA, na vyama vya soka huko ulaya vikipata mhaho
Ishu kubwa hapo ni MAPATO, hao akina UEFA wanapiga kelele kwa kuwa wanajua hela zitatoka kwao na zitakwenda kwa mamlaka itakayokuwa inasimamia hii League, ambapo hiyo mamlaka ni vilabu vyenyewe vinavyoshiriki
Big companies watahamisha udhamini wao mnono kutoka kwenye mechi za Westham dhidi ya Norwich na kupeleka kwenye mechi za Man Utd vs Real Madrid.
Ligi za ndani zita struggle kimapato, timu ndogo zita strugle kimapato, vyama vya soka vya nchi vita struggle kimapato na UEFA na FIFA wataumia kimapato kwakuwa hizo timu kubwa ndio zitasimamia mashindano hayo
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ngoma nzito hii mkuuHapo ndio vita ilipo,
Sidhani kama fa,premier league,la liga,seria a,uefa, fifa n etc wako tayari kupoteza mapato kutoka kwenye michuano yao.
Hii michuano sidhani kama hivi vyama na board watairuhusu
Hapa huenda ikawa lose lose kwa pande zote,
Ngoja tuone kipi kitatokea
Mnapigwa leo..
Wale Wa Burnley tujuane mapema..


View attachment 1756190Kwa umri wake kumpa dakika nyingi mfululizo ni risk sana.
Namwelewa sana Ole anavyofanya rotation kwenye kikosi wachezaji hawapati serious injuries.
Nimeona mahala kuwa mechi za super league zitachezwa katikati ya wiki muda ambao pia CL games zinachezwa. Maana yake hizi timu automatically zinajitoa CL na EUROPA au nimeelewa vibaya hapa?View attachment 1756095
sitaki kuamini ya kwamba hawa jamaa wamefikia uamuzi wakiwa peke yao, bila ya shaka kuna kundi kubwa la wafanya biashara, vyombo vya habari vikubwa vipo nyuma ya mkakati huu.
ngoja tuendeleee kuishuhudia hii vita kati ya matajiri na wazee wa kusimamia kanuni, sheria, miongozo na taratibu za soka ulimwenguni.
kwa waliofatilia hili sakata nahitaji kufahamu mfumo wa ligi utakuwaje ndani ya uwanja, niliwahi kusikia nyakati za mwanzoni kabisa ya kwamba hii ligi itachezwa viwanja tofauti vya nchi kama vile marekani na nchi za kiarabu, china. Lengo kuu ni kuwapa nafasi mashabiki wa nchi tofauti kuzishuhudia team wazipendazo
Je kuna ukweli wowote,
Chief-Mkwawa na Joh Doe
hili sakata sijabahatika kulifuatiliaNimeona mahala kuwa mechi za super league zitachezwa katikati ya wiki muda ambao pia CL games zinachezwa. Maana yake hizi timu automatically zinajitoa CL na EUROPA au nimeelewa vibaya hapa?
Arsenal vs villareal
Duuh unai emery anarudi uingereza namtabiria kuingia fainali maana ili kombe ndio analoliweza kweli kweli
NAJUA MMEKAA KWENYE TV MKIFURAHIA KANDANDA SAFI LA MAN UNITED. SIRI YA YOTE HII NI ULE UJINGA WA martial UMEONDOKA. TENA AUZWE KABISA ASIRUDI HAPA.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

:
The Super League will be owned by the 15 founding clubs, who will put in an initial €2m and potentially a further €8m.
BREAKING: JP Morgan have confirmed that they are financing the European Super League.
busara inahitajika sana kwenye hili pambano linaloendelea, FIFA na UEFA wakae chini wajadiliane na hao jamaa walioushikilia mchezo wa soka kwenye mikono yao. kwangu naamini tatizo kubwa lilianzie pale waliporuhusiwa matajiri wawe na umiliki mkubwa wa hisa kwenye hivi vilabu
=========
anaandika Mohamed Bouhafsi, mmoja kati ya waandishi maarufu sana pale ufaransa na duniani kwa ujumla
Last night, when 12 big clubs of the Superleague announced resignations from ECA (association of European clubs). They also resigned from all UEFA committees and panels with Agnelli leaving the ECA management, Nasser Al-Khelaifi becomes it’s executive boss.
========
kwa nini PSG wamesusia huu mpango, nadhani ni kwa sababu hizi zifuatazo na si kwamba waarabu wao ni watu wanaofuata maadili.
- kombe la dunia linafanyika Qatar 2022
- bein sport ina hati miliki kubwa ya kuonyesha michuano ya Uefa, wamiliki wa PSG ndio wanaoishikilia bein sports
#mufc have resigned from the ECA and Ed Woodward has stepped down from his role on the UEFA Professional Football Strategy Council. [@samuelluckhurst]
========
kumekucha
Glazer family na Woodward wataimaliza hii timu. Siyo ajabu wao kujiunga na hayo mashindano, deni la timu limekuwa kubwa. Hao Glazer family ni wapigaji tu.Ni ngumu sana kuzipiga hizi tim ban na player wao kushirikiWhat if Premier League wakawapiga ban waliosign huo mchakato kutokushiriki ligi?..na Fifa na wenyewe wakaweka vikwazo?.
Sidhani kama itawezekana kirahisi.
Domestic Leagues zitakufa kifo cha mende.