Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Marekani kautafuta sana mpira wa miguu kipindi cha Blatter, kaukosa.

Sasa hivi wanakuja kivingine.

Ukitaka kujua ita operate vipi Angalia ligi ya NFL Marekani, huko ndio Kina Glazer walipoanzia, ligi ambayo haina kushuka daraja, watu Wana cheza tu for fun basi.
Hamshuki daraja

Mpira hauitaji kuchezwa for fun kwa kweli
 
kwa waliofatilia hili sakata nahitaji kufahamu mfumo wa ligi utakuwaje ndani ya uwanja, niliwahi kusikia nyakati za mwanzoni kabisa ya kwamba hii ligi itachezwa viwanja tofauti vya nchi kama vile marekani na nchi za kiarabu, china. Lengo kuu ni kuwapa nafasi mashabiki wa nchi tofauti kuzishuhudia team wazipendazo

Je kuna ukweli wowote,
Chief-Mkwawa na Joh Doe
Hawajathibitisha ila kwa pesa waliyoweka ni kubwa sana lolote linaweza kutokea.

Pesa ya miundombinu pekee hizi timu 15 zitapata zaidi ya €250M + €300M kwa kila moja kama zawadi ya kuingia ktk hii ligi.
 
Tusilikwepe hili nasi tumeshiriki kumng'oa spurs
Sio kweli..waliomng'oa ni wale zagreb waliomtoa kwenye europa league..yaani first leg umeshinda mbili bila unaenda kutolewa na timu ya mchangani kweli kwenye 2nd leg,kweli?..Mourinho astafu tu kwasasa,ubwatukaji zama hizi hauleti matokeo.

Socha atleast ametufanya tuwe imara kwa kiasi chake..
 
kufukuzwa kwa jose mourinho pamoja na kuondolewa kwa tottenham hotspurs kwenye mbio za ubingwa kumenifanya niyakumbuke kwa lazima mabandiko ya Joh Doe humu ndani.

mwanzoni kabisa mwa ligi kuu alisema tottenham hotspurs hawana kikosi cha kupigania ubingwa na hata jinsi wanavyocheza hawaonekani kama ni timu yenye uwezo wa kuleta ushindani kwa muda mrefu dhidi ya wengine.

nikupe heshima yako brother
=============
ila huyu mourinho mahesabu ya malipo ya mshahara wake inaweza kuzidiwa na fidia anayopokea pindi anapovunjishwa mkataba wake.

Jose ni shetani mwenye uhalali ndani yake, usikubali kumpa mkataba wa miaka mitatu lakini pia usikatae kumpa mkataba wa miaka 3
 
Watu pekee waliobaki kulikataa hili sakata la super league ni
Washabiki na
Wachezaji tu.......hawa wakikomaa hii michuano haitakua na faida kwao kamwe
 
kufukuzwa kwa jose mourinho pamoja na kuondolewa kwa tottenham hotspurs kwenye mbio za ubingwa kumenifanya niyakumbuke kwa lazima mabandiko ya Joh Doe humu ndani.

mwanzoni kabisa mwa ligi kuu alisema tottenham hotspurs hawana kikosi cha kupigania ubingwa na hata jinsi wanavyocheza hawaonekani kama ni timu yenye uwezo wa kuleta ushindani kwa muda mrefu dhidi ya wengine.

nikupe heshima yako brother
=============
ila huyu mourinho mahesabu ya malipo ya mshahara wake inaweza kuzidiwa na fidia anayopokea pindi anapovunjishwa mkataba wake.

Jose ni shetani mwenye uhalali ndani yake, usikubali kumpa mkataba wa miaka mitatu lakini pia usikatae kumpa mkataba wa miaka 3
Sure Jombaa.

Nafikiri awamu hii ataondoka na $15M alibakiza miezi 17.

Nipe utabiri wako unafikiri atajiunga na timu ipi? Bayern? Hakosagi kazi huyu Mshua.
 
★Manchester United fans★

#GGMU

manutd |
IMG_20210420_013119_653.jpeg
 
Huyu perez anang'ang'ania haya mashindano ya hizi timu kubwa hizi timu zikianza kukutana kila mech zitakuwa za kawaida ni raha sana manchester city kukutana na madrid kila baada ya miaka miwili au mitatu na zaidi sio kila mwaka watu wanakuwa na ham na visasi vya miaka mitano nyuma
 
Huyu perez anang'ang'ania haya mashindano ya hizi timu kubwa hizi timu zikianza kukutana kila mech zitakuwa za kawaida ni raha sana manchester city kukutana na madrid kila baada ya miaka miwili au mitatu na zaidi sio kila mwaka watu wanakuwa na ham na visasi vya miaka mitano nyuma
Perez anachofurahia ni hela tu na siburudani especially kipindi hichi ambacho madrid haiko sawa kifedha ndio maana anangangania huu mpango ufanikiwe
 
The big club has been lose more money than they gain
That is why the depts has been increasing for United
United fans thought money grow inside Ed woodward room
Perez is right about that
The small club are making money from them that is why small teams they sell players at a very large amount

Leicester sold maguire to united at 80m
You see that
That fraud
The big team are losing money
 
Back
Top Bottom