Watafanikiwa tu maana walishaanza na nation leagueTimu kubwa Europe wanataka kuanzisha Ligi yao badala ya CL(iliyo chini ya UEFA)
Ambayo itahusisha timu 16-20
Mfumo utakuwa ni magroup mawili, yaani 10 kwa 10.
Zitacheza home and away, halafu timu nne za juu kwa kila group zitafuzu kucheza Robo fainali.
Then nusu fainali na mwishoe fainali.
Michezo hii itachezwa katikati ya wiki.
Ili kiruhusu hizi timu kushiriki domestic league.
Hii ni Vita hawa Jamaa wametangaza na UEFA.
Na inavyooneka sababu ni PESA tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya kutoa pasi huyu Rashidi angekuwa anayafanya tangu mapema tungekuwa mbali sana, ona Bruno alivyoisusa ile pasi, angekuwa Rashidi au Martial wangeugusa ule mpira na lazima ingeharibika tu, hivyo ndivyo walivyotukosesha ubingwa msimu huu.1st goal. GreenwoodView attachment 1755958
Bisaka ni kiboko wa Sterling. Goli lile kulikuwa hakuna namna maana mfungaji mwenyewe ni mrefu kuliko yeye.Acha masikhara..Bissaka ni kitasa,kashawaweka mfukoni mawinga machachari mara kibao.
Kwahiyo leo Bruno aligoma kabisa kufunga3rd goal. CavaniView attachment 1755964
Hata goli la 3 movement ya ule mpira kama angekuwepo Rashford au Martial lile goli lisingefungwa ungeona mjinga mmoja anafinya finya wakati watu wameishaji-position.Haya mambo ya kutoa pasi huyu Rashidi angekuwa anayafanya tangu mapema tungekuwa mbali sana, ona Bruno alivyoisusa ile pasi, angekuwa Rashidi au Martial wangeugusa ule mpira na lazima ingeharibika tu, hivyo ndivyo walivyotukosesha ubingwa msimu huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, Hii ni ajenda yenye msukumo wa tamaa ya kutaka kupiga pesa kutoka kwa wamarekani wanaomiliki vilabu vya Manchester United, Liverpool na Arsenal. Hili ndio genge lililo nyuma ya huu mpango. Anayenishangaza ni boss Juventus (Andrea Agnelli) naye yuko nyuma ya huu mpango na ni mjumbe wa bodi ya UEFA pia.Hii superleague wanataka iweje?..tofauti na UCL?
Kwa umri wake kumpa dakika nyingi mfululizo ni risk sana.Yaan huwa anazingua sana Ole, Cavan ni pure striker ambae kwa uchezaji wa United tunamuhitaji sana
Siku zote huwa nasema Maguire huwa anafanya makosa mengi ya kijinga sana kuliko Lindelof.Tunahitaji holding Mido mmoja mkali sana..Fred + Scott kila mechi hapana.
Greenwood amekomaa sana hadi mwili..amekuwa strong sana msimu huu,japo ameingia nyavuni few times.
Dean Henderson alikuwa na mapepe leo sijui amekula nini..mwishoni amekuja kutulia.
Captain wetu huyu kuna muda anacheza kama mlevi.
Otherwise perfomance ilikuwa poa..vdb with an assist sio mbaya.
GGMU.
Spirit aliyonayo Cavani, haitofautini sana na ile ya Ibarahmovich. Wanafanya mambo kinyume kabisa na umri wao.Anazurura uwanja mzima utafikiri ni kijana wa miaka 18 kumbe babu
Yaani City apoteze mechi 2 mbili tu, nimejaribu kufuatilia ratiba ya MANU sijaona fixture ya kutisha sana. Huu msimu bado haujatabirika vizuri.Ya ligi inakuja watauana wale we subiria tu...
Naona hashtags nyingi sana huko mitandaoni zinatembea, #Say no to Super cup.Timu kubwa Europe wanataka kuanzisha Ligi yao badala ya CL(iliyo chini ya UEFA)
Ambayo itahusisha timu 16-20
Mfumo utakuwa ni magroup mawili, yaani 10 kwa 10.
Zitacheza home and away, halafu timu nne za juu kwa kila group zitafuzu kucheza Robo fainali.
Then nusu fainali na mwishoe fainali.
Michezo hii itachezwa katikati ya wiki.
Ili kiruhusu hizi timu kushiriki domestic league.
Hii ni Vita hawa Jamaa wametangaza na UEFA.
Na inavyooneka sababu ni PESA tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani kautafuta sana mpira wa miguu kipindi cha Blatter, kaukosa.View attachment 1756095
sitaki kuamini ya kwamba hawa jamaa wamefikia uamuzi wakiwa peke yao, bila ya shaka kuna kundi kubwa la wafanya biashara, vyombo vya habari vikubwa vipo nyuma ya mkakati huu.
ngoja tuendeleee kuishuhudia hii vita kati ya matajiri na wazee wa kusimamia kanuni, sheria, miongozo na taratibu za soka ulimwenguni.
kwa waliofatilia hili sakata nahitaji kufahamu mfumo wa ligi utakuwaje ndani ya uwanja, niliwahi kusikia nyakati za mwanzoni kabisa ya kwamba hii ligi itachezwa viwanja tofauti vya nchi kama vile marekani na nchi za kiarabu, china. Lengo kuu ni kuwapa nafasi mashabiki wa nchi tofauti kuzishuhudia team wazipendazo
Je kuna ukweli wowote,
Chief-Mkwawa na Joh Doe