Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG-20210323-WA0020.jpg
 
Timu gani duniani itatoa £130M kumnunua Rashford?

Rashford haendani na hiyo thamani kamwe hakuna club duniani itatoa hiyo pesa kumnunua Rashford.

Atastaafu hapo old Trafford.

Club zitatoa £130M kwa haaland sio kwa kichwa panzi Rashford.
Kutoa? Mbona umewazia mbali. Hata timu yoyote kumtaka Rashford haijawahi kutokea.
 
Kutoa? Mbona umewazia mbali. Hata timu yoyote kumtaka Rashford haijawahi kutokea.
Man united ni timu kubwa sana kiasi kwamba timu chache sana zitapambana nayo sokoni kusajili wachezaji.

Ndiyo maana unaona Rashford hatakiwi na timu yoyote kwa sababu hata kama inamhitaji haitampata.

Angekuwa yuko kwenye vilabu vidogo kama Arsenal, Tottenham au Chelsea angeshaondoka siku nyingi tu.
 
Man united ni timu kubwa sana kiasi kwamba timu chache sana zitapambana nayo sokoni kusajili wachezaji.

Ndiyo maana unaona Rashford hatakiwi na timu yoyote kwa sababu hata kama inamhitaji haitampata.

Angekuwa yuko kwenye vilabu vidogo kama Arsenal, Tottenham au Chelsea angeshaondoka siku nyingi tu.
Fuatilia mpira.

Usifuatilie timu.

Ukianza kufuatilia mpira utajua klabu ngapi zilishamtaka Messi.

Mfano haujui kwamba pamoja na huo ukubwa unaoudai dirisha lililopita mlimtaka Reguilon badala yake akaenda Spurs unayoiita ndogo. Mmemtaka Thiago akaenda Liva, Sancho timu kubwa nyie mkashindwa bei, Haaland timu kubwa nyie mkashindwa, Werner timu kubwa nyie mkashindwa akaenda timu ndogo Chelsea.

Mmesajili Ighalo, Cavani, Bruno, Telles, Dony, Amad na Pellistr nitajie timu ambazo zilitaka hawa wachezaji nyinyi mkazipiku hizo timu.

Again, fuatilia mpira. Usifuatilie timu.
 
Fuatilia mpira.

Usifuatilie timu.

Ukianza kufuatilia mpira utajua klabu ngapi zilishamtaka Messi.

Mfano haujui kwamba pamoja na huo ukubwa unaoudai dirisha lililopita mlimtaka Reguilon badala yake akaenda Spurs unayoiita ndogo. Mmemtaka Thiago akaenda Liva, Sancho timu kubwa nyie mkashindwa bei, Haaland timu kubwa nyie mkashindwa, Werner timu kubwa nyie mkashindwa akaenda timu ndogo Chelsea.

Mmesajili Ighalo, Cavani, Bruno, Telles, Dony, Amad na Pellistr nitajie timu ambazo zilitaka hawa wachezaji nyinyi mkazipiku hizo timu.

Again, fuatilia mpira. Usifuatilie timu.
Kama kuna timu ilimtaka Messi na ikashindwa maana yake hakuna timu ya kucompete na hivi vilabu vitatu sokoni.
Man united.
Barcelona.
Real Madrid.

Kama kuna mchezaji hazikumnunua ujue hazikuweka pesa tu.
 
Kama kuna timu ilimtaka Messi na ikashindwa maana yake hakuna timu ya kucompete na hivi vilabu vitatu sokoni.
Man united.
Barcelona.
Real Madrid.

Kama kuna mchezaji hazikumnunua ujue hazikuweka pesa tu.
Hahaha kama umeelewa nilichoandika ilitakiwa uone kua mmeshindwa kumsajili Werner, Thiago, Reguilon, Sancho na Haaland.

Pia unatakiwa utaje klabu ambazo ziligombea kuwasajili Bruno, Cavani, Ighalo, Amad na Pellistr halafu united ikashinda hizo mbio.

😂😂Hizi spinning hazisaidii. Nimetoa ushauri, fuatilia mpira usifuatilie timu.
 
Fuatilia mpira.

Usifuatilie timu.

Ukianza kufuatilia mpira utajua klabu ngapi zilishamtaka Messi.

Mfano haujui kwamba pamoja na huo ukubwa unaoudai dirisha lililopita mlimtaka Reguilon badala yake akaenda Spurs unayoiita ndogo. Mmemtaka Thiago akaenda Liva, Sancho timu kubwa nyie mkashindwa bei, Haaland timu kubwa nyie mkashindwa, Werner timu kubwa nyie mkashindwa akaenda timu ndogo Chelsea.

Mmesajili Ighalo, Cavani, Bruno, Telles, Dony, Amad na Pellistr nitajie timu ambazo zilitaka hawa wachezaji nyinyi mkazipiku hizo timu.

Again, fuatilia mpira. Usifuatilie timu.
Turudi kwa Rashford kama angekuwa timu ndogo kama Arsenal angekuwa alishaondoka muda mrefu tu.

Arsenal ilishanyang'anywa kikosi kizima na Man city na United na Barcelona zikanunua wachezaji wenu muhimu wawili, hata Rashford angekuwa Arsenal hakuna timu ingeshindwa kumnunua angeshaondoka zamani lakini hawezi kuondoka kwa sababu club aliyopo anapata kila kitu anachokihitaji.

Ni fedheha kwa mchezaji kariba ya Rashford kucheza timu ndogo kama Arsenal asingekubali abadani

Lakini kuwa United ni legacy kubwa sana kwake hadi Borris Johnson anamsikiliza dogo Rashford.
 
Hahaha kama umeelewa nilichoandika ilitakiwa uone kua mmeshindwa kumsajili Werner, Thiago, Reguilon, Sancho na Haaland.

Pia unatakiwa utaje klabu ambazo ziligombea kuwasajili Bruno, Cavani, Ighalo, Amad na Pellistr halafu united ikashinda hizo mbio.

Hizi spinning hazisaidii. Nimetoa ushauri, fuatilia mpira usifuatilie timu.
Reguilon hakuwa prime target ya United ndiyo maana hakusajiliwa united.

Thiago alisema mwenyewe anaenda kwa mwalimu wake Guardiola .

Werner United hawakuwa na shida nae sababu tayari walikuwa na striker mwingine anayecheza similar position na Werner walihitaji back up striker mwenye quality tofauti.
 
Turudi kwa Rashford kama angekuwa timu ndogo kama Arsenal angekuwa alishaondoka muda mrefu tu.

Arsenal ilishanyang'anywa kikosi kizima na Man city na United na Barcelona zikanunua wachezaji wenu muhimu wawili, hata Rashford angekuwa Arsenal hakuna timu ingeshindwa kumnunua angeshaondoka zamani lakini hawezi kuondoka kwa sababu club aliyopo anapata kila kitu anachokihitaji.

Ni fedheha kwa mchezaji kariba ya Rashford kucheza timu ndogo kama Arsenal asingekubali abadani

Lakini kuwa United ni legacy kubwa sana kwake hadi Borris Johnson anamsikiliza dogo Rashford.
Hujachoka spinning?😂
 
Back
Top Bottom