ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Ukweli mchungu sana huu.....Timu gani duniani itatoa £130M kumnunua Rashford?
Rashford haendani na thamani kamwe hakuna club duniani itatoa hiyo pesa kumnunua Rashford.
Atastaafu hapo old Trafford.
Club zitatoa £130M kwa haaland sio kwa kichwa panzi Rasford.
