Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Cha ajabu unaangalia watanzania akili zao toka sayari ya peke yao![]()
Kwahiyo unataka uangalie peke yako
Cha ajabu unaangalia watanzania akili zao toka sayari ya peke yao![]()
Oyah,mtu ume gongwa leo moja bila, badala utulie, una hangaika hangaika, uta gongwa na gali.
Spurs katoka uhakika wa top 4 hamna alitakiwa kukomaa kama arsenal maana arsenal hata europa mwakani hachezi hii ni nafasi kwao waitumie vizur
Hii timu mashabiki wake wote hawana akili, yani wamejazana ujinga kwamba Bruno hakosei.. huyo bruno wenu leo ni mbovu, lakini lawama wanapewa wengine.
Kwahiyo unataka uangalie peke yako
Nimepita.. nangoja na wewe upite
Timu ipi?Hii timu haina kitu kabisa
Kwa mpira mnaopigiwa lazima muage mashindano
Nimepita.. nangoja na wewe upite