Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo tunashinda kaa mkao wa kula
Mbili nunge tosha
PSX_20210318_215113.jpg
 
Viungo wa hii timu kila mech ni kupiga pasi hovyo hovyo tu fred na scott daaaa bado kunahitajika uwekezaj sehem ya kiungo
 
Spurs katoka uhakika wa top 4 hamna alitakiwa kukomaa kama arsenal maana arsenal hata europa mwakani hachezi hii ni nafasi kwao waitumie vizur
 
Viungo wa hii timu kila mech ni kupiga pasi hovyo hovyo tu fred na scott daaaa bado kunahitajika uwekezaj sehem ya kiungo

Hii timu mashabiki wake wote hawana akili, yani wamejazana ujinga kwamba Bruno hakosei.. huyo bruno wenu leo ni mbovu, lakini lawama wanapewa wengine.
 
Back
Top Bottom