Ngoma bado mbichi hii mkuu, uwepo wa Roma, Ajax na Villareal kwenye mashindano ni dhahiri bado tuna safari ndefu, though we're more likely kuwa Champions.
United tuna kikosi kizuri sana ila huwa tuna-struggle sana kupata matokeo yakuridhisha tunapokutana na mid-table clubs. Hao niliowa-mention hapo wanatoka competitive leagues tofauti na wengine waliobaki kwenye mashindano.
Usiwa-understimate sana, this time naomba tupite njia nyepesi, yaani tupewe kibonde: ubingwa ni muuganiko wa vitu vingi; ubora wa kikosi, bahati na aina ya opponents unaokutana nao.
Umeona kilichomkuta Spurs! Kapata weak opponent, wana kikosi kizuri (niliomba sana watolewe), wamekosa bahati.