Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Ni pesa ndefu sana ila as long as The people behind Manchester United ni Glazer's family, na aje tu ale pesa. Cha muhimu afanye kazi itakayomleta United.Dunia ya leo kiboko dogo anataka kupewa mshahara ambao messi na ronaldo hawana....
Hii mishahara ya wachezaji ni kutoka mifukoni mwa mashabiki, humu asilimia kubwa tunaichangia hii timu kupitia TV rights (broadcasting revenue) kila msimu. Glazers hawaionei huruma hii club, mimi ni nani nisifurahie Haaland kuja United kisa atapokea £350K/week.





