da irritant boy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 405
- 452
i had to laughHatari hatari mkuu, jamaa kwenye huo uzi amebaki peke yake na anapost tu yn uzi una comments zaidi ya 1k, 90% ni zake mwenyewe cz watu wanaukimbia una misamiati migumu![]()






i had to laughHatari hatari mkuu, jamaa kwenye huo uzi amebaki peke yake na anapost tu yn uzi una comments zaidi ya 1k, 90% ni zake mwenyewe cz watu wanaukimbia una misamiati migumu![]()






Usisahau kumeza pain killer kabla ya kulala
Ule uzi utakuja kusimama sehemu mbili tu
Ona mwamba alivyo mbabe, uzi una zaidi ya 30k comments na 90% ni zake mwenyeweUle uzi utakuja kusimama sehemu mbili
Magu akitoka madarakani au mtoa post afe








Uzi una miaka sita jamaa anakomaa nao tu mpaka kieleweke...i had to laugh![]()
Huwa mnakuwa na maneno machafu sn tm yetu inapoharibu, lkn dawa yenu ipo Billions
Uzi una miaka sita jamaa anakomaa nao tu mpaka kieleweke...


wanaufungia wanarudishaMkuu ila Billions kiboko aisee mpk wanamuomba moderator ampige ban, eti mpangaji anataka kumpa notice mwenye nyumbaKwa sasa nimegundua hilo ustaarabu naweka kando hapa ntakuwa nakomaa nao wale wanaojidai watata ukiwa na maneno mazur haya ma fala yanataka kutufanya wote wajinga kwa sasa akitia mtu mguu na kauli za kipuuzi sitomuacha akija kwa heshima tunamaliza kiheshima






Mkuu ila Billions kiboko aisee mpk wanamuomba moderator ampige ban, eti mpangaji anataka kumpa notice mwenye nyumba![]()


mm mwenyewe nakwenda huko kuna kamoja kalianza huko juu kengeendelea na lugha chafu nami ningekuwa nakwenda nacho vile kanataka vingine vina id mbili bado tunakomaa navyo hivyo hivyomm mwenyewe nakwenda huko kuna kamoja kalianza huko juu kengeendelea na lugha chafu nami ningekuwa nakwenda nacho vile kanataka vingine vina id mbili bado tunakomaa navyo hivyo hivyo











Penandez leo hajapata penatimm mwenyewe nakwenda huko kuna kamoja kalianza huko juu kengeendelea na lugha chafu nami ningekuwa nakwenda nacho vile kanataka vingine vina id mbili bado tunakomaa navyo hivyo hivyo




Daah umeme ndo tatizo nyie tanesco wengi mko manureNdio unatoka usingizini nini



Daah umeme ndo tatizo nyie tanesco wengi mko manure
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app


itabidi uangalie marudio tu