Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usisahau kumeza pain killer kabla ya kulala

Ndivyo mnavyofanyaga kwenye vi timu vyenu vikitoa droo au vikifungwa mpira haupo hivyo mdogo wangu nyie mnafanya hayo kwa kuwa mnapresha na mna matokeo yanu mfukon sisi washind wa epl mara 20 hatuna hizo michongo tunajua kufikia ukubwa lazima upite utoto sasa nyie bado mpo kwenye level ya utoto lazima mlale na vidonge au mshabik wa madrid au buyern unaweza kumpa huo ushaur? Ni utoto
 
Ule uzi utakuja kusimama sehemu mbili
Magu akitoka madarakani au mtoa post afe
Ona mwamba alivyo mbabe, uzi una zaidi ya 30k comments na 90% ni zake mwenyewe
Screenshot_20210311-234930.jpg
 
Huwa mnakuwa na maneno machafu sn tm yetu inapoharibu, lkn dawa yenu ipo Billions

Kwa sasa nimegundua hilo ustaarabu naweka kando hapa ntakuwa nakomaa nao wale wanaojidai watata ukiwa na maneno mazur haya ma fala yanataka kutufanya wote wajinga kwa sasa akitia mtu mguu na kauli za kipuuzi sitomuacha akija kwa heshima tunamaliza kiheshima
 
Kwa sasa nimegundua hilo ustaarabu naweka kando hapa ntakuwa nakomaa nao wale wanaojidai watata ukiwa na maneno mazur haya ma fala yanataka kutufanya wote wajinga kwa sasa akitia mtu mguu na kauli za kipuuzi sitomuacha akija kwa heshima tunamaliza kiheshima
Mkuu ila Billions kiboko aisee mpk wanamuomba moderator ampige ban, eti mpangaji anataka kumpa notice mwenye nyumba
 
Mkuu ila Billions kiboko aisee mpk wanamuomba moderator ampige ban, eti mpangaji anataka kumpa notice mwenye nyumba

mm mwenyewe nakwenda huko kuna kamoja kalianza huko juu kengeendelea na lugha chafu nami ningekuwa nakwenda nacho vile kanataka vingine vina id mbili bado tunakomaa navyo hivyo hivyo
 
Matokeo ya leo na tungefungwa jumapili hivi vimbwa vinavyojazana hapa ingekuwaje? Aaa ukubwa kazi kweli kweli kila mtu kina kuangalia ww kitue shida zake
 
Back
Top Bottom