radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
mwisho wa siku tunakosa vyoote, na kwa namna EPL ilivokaa tukiporomoka maana tunaenda kuchezea kwenye nafas ambazo hata europa hatutaiona.
Kabisa hilo ndilo ninaloliaona kocha hana kipaumbele kabisa manchester united sio timu ya kukaaa ku prove kwa watu carabao na europa angetia akilini hilo mourinho alikuwa na machaguo nakumbuka baada ya kuona hana nafasi ya kuingia top 4 mwaka wake akatamka kabisa njia rahisi ni kubeba europa ili kwenda kwenye mashindano ya ulaya na alifanya hivyo

★


