Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lilivyopatikana goli mkachomoka mapangoni kuja kutamba. Goli limerudi mnaanza matusi.

Hii game mlitakiwa kufa.

VAR na refa wapuuzi
 
Nimepoteza mb zangu bure kuangalia usenge, timu haiaminiki hata kdg hata ikibaki sekunde moja.

Mkuu mbona tumecheza vizur sana ac milan ukiacha ukubwa na mafanikio yao wao kwenye ligi ndio timu ya pili kipimo tosha hiki
 
Acha ushabiki maandazi, Milan wamecheza vizuri mno tena wamewazidi mbali mno. Tena kwa mchezaji mmoja mmoja ndio hatari madogo wanachezea mpira ni hatari, yaani unatamani mda wote wawe na mpira uone udambwi udambwi
Mech safi sana madogo wamecheza vizur king wa away kama kawa tunaenda kumtembelea mtu kwake mech za nyumban hatupo sawa
 
Au unasemaje
images.jpeg
 
Back
Top Bottom