Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mambo vipi wadau?
Kitambo sijachungulia humu, hii inatokana na pilika za kimaisha ukizingatia kazi zenyewe ni ngumu na usipofanya hakuna kula wala pesa ya bando utaisikia kwenye bomba.

Duh, sio poa mwenzenu nishakata tamaa ya kutwaa upingwa wa EPL, sikutegemea kama Palace angetushika shati mara ya pili.

Sijui tatizo liko wapi? Nani wa kumuangushia jumba bovu, wachezaji ama benchi la ufundi.

Ila ninacho weza sema "kutesa kwa zamu" wenda zamu yetu ilisha pita hivyo tusubilie awamu nyingine sijui ni mwaka gani?
Kwa haya maelezo yako,nitake radhi mana kuna kipindi tulicheza kama sikosei na Wolves tukashinda na baada ya mchezo nikatoa maoni yangu juu ya ubingwa ulipinga na kuniita mjinga. Naona Leo umejiunga na kundi langu la ujinga. Sasa wewe unaweza kuwa mjinga zaidi yangu!
Screenshot_20210307-131404.jpg
Screenshot_20210307-131521.jpg
 
Naangalia game ya Dortmund na Bayern ...huyu Halland ni kama kuna mizimu inamuongoza hivi, goal machine, na nasema sisi man u hatuwezi kumchukua hata kwa dawa.. Sisi Tuendelee kukalisha mapumbu yetu mazito na manene na akina wapuuzi rashford na wengineo tuendelee kusindikiza timu zingine kwenye ubingwa.
Ha ha ha ha ha duuuu umechafukwa sana. Ofcorse hata Mimi siamini kama man u wana hela ya kumnunua mtu Wa hivi!
 
Mhhh! Mpira wa Ferguson na Pep upo tofaut sana, ule mpira wa OGS ndio mpira wa Ferguson, Jamaa kakop kila kitu kwa babu fergie
Mbinu zinakopiwa mdau na sio soka ili aweze kumaintain epl halafu anaongezea vitu vyake....
 
Back
Top Bottom