radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
upo sawa kabisa lakn ebu niambie ww yale makosa anayo fanyaga ya Maguire unataka kusema kocha anausika au ni uwezo wa mcheza binafsi na kuto kuwa makini
Maguire alipokuwa leicester city alikuwa vizur sana kuna muda mbinu za kocha huwa zinaharibu viwango vya baadhi ya wachezaj huyo maguire alikuwa anakwenda city ila manchester united walimchukua haraka baada ya kuumia erick bailly kukawa hamna mbadala wa bek mwingine na ligi ilikuwa wiki moja kuanza kukawa na upungufu wa mabek ukiamuangalia rashford wa van gaal na huyu wa sosha na mourinho vitu viwili tofaut martial nae wa van gaal alikuwa fit shaw wa mourinho na van gaal alikuwa mbovu sana japo saiv kupandisha kiwango kidogo ni hivyo tu kule chelsea yule kante wa lampard alikuwa hovyo sana saiv yule mjeruman kajitahidi kumrudisha kundini

