Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuanzia sasa Ole na wachezaji inabidi wafanye firing ya hatari..tofauti na hapo mwisho wa msimu tutashika tu tama na hatutoona improvement yoyote ya maana bila trophy..na position ya Ole itabidi iwe questioned

✓FA CUP

✓Europa League

✓EPL(inabidi tuende bamba to bamba mpaka mwisho tuone tutakuwa nafasi gani)
Absolutely. Fo sho!
 
Waingereza wanapenda kupigana promo sana

acha na huo utopolo..weka Raphael Varane hapo awe partner na BAILLY uone tutakavyokeep cleansheets za kutosha
Mimi niliwahi kusema hawa ktk recruitment model yetu waingereza tuwawekee red flags.

Tuwekee policy ya kutosajili mchezaji wa kiingereza tuwe tunawapandisha kutoka chini kama Rashford, Greenwood na Henderson.

Hawa watu wapo overrated sana. Hawafanani na thamani zao halisi.
 
The Hawthorns has been a happy hunting ground over the years

#GGMU

manutd |
IMG_20210213_220327_080.jpeg
IMG_20210213_220326_871.jpeg
IMG_20210213_220327_325.jpeg
IMG_20210213_220327_456.jpeg
IMG_20210213_220327_171.jpeg
IMG_20210213_220327_340.jpeg
 
Japokuwa Ole amekuwa akitu-disappoint sana ila nimefanya observation. Tuna nafasi kubwa sana ya kubeba ubingwa msimu huu.

Tunahitaji kushinda mechi 13 ktk ya 15 zilizosalia. Kuanzia weekend hii, safari ya ubingwa itaamuriwa kuelekea michezo mitano ijayo kati yetu sisi na Manchester city.

Manchester City;
Tottenham (leo), Everton (J'5, feb 17), Arsenal (J'2, feb 21), West Ham (J'mosi, feb 27) na mwisho atacheza na sisi (mar 6).

Kitu cha muhimu hapa tusifanye makosa mechi tano zijazo. Hawa wapuuzi naamini kabisa watafungwa mechi 3 kati ya hizo tano.
Mashabiki wa man u kweli mnaroho ya Paka
 
Mdau wanishangaza upo bize kuiangalia liva kuliko city......sijui lengoni kutwaa ligi au kumaliza nafasi ya pili msimu huu..
Nilitaka kuonyesha dynamism ya ligi msimu huu kuwa kuna muda tulizidiwa point kumi na Liverpool na sasa tunaenda kumzidi kwa point nane yeye..

Kubeba ubingwa hatuwezi,hizi zitakuwa ni hekaya tu tunaziandika humu..tukomae tumalize nafasi ya pili tu.
 
Mourinho kawa mdebwedo leo hata tusibane mbupu maana ataliwa kirahisi tu na Pep..
Tangu Rui Faria ameachana na Mourinho mwaka 2018 na Mourinho amekuwa na timu dhaifu kuliko kawaida.

Rui Faria kaanza kufanya kazi na Mourinho tangu mwaka 2001 hadi 2018 katika vilabu tofauti tofauti alivyofundisha Mourinho.

Katika kipindi hicho Jose Mourinho alifanikiwa kutengeneza timu imara kweli na kutwaa makombe mengi mpaka kufikia hatua ya kujiita the special one.

Toka ameachana na Rui Faria timu za Mourinho zinabahatisha bahatisha tu.

Je nyuma ya mafanikio ya Mourinho kuna kazi kubwa iliyofanywa na Faria?

Je mporomoko wa sasa wa Mourinho unachangiwa na kukosekana kwa Rui Faria katika benchi lake la Ufundi ?Daemusin
 
Back
Top Bottom