Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hebu mtu hapa ampigie simu OGS amtoe Martial. Mpaka Bruno anacheka mwenyewe. Anampigia mipira anashindwa kuikimbilia inatoka nje. pambaf sana.
Screenshot_20210211-020644.png
 
Mchezaji bado hajazoea mazingira halafu siyo kwamba amekuwa flop ni kwamba aina ya uchezaji wa United bado unampa tabu sana.

Ukiangalia signings za dirisha flops wengi wako Chelsea na Liverpool lakin anayeandamwa ni Donny.

Sababu kubwa yuko United angekuwa vilabu vingine vya machakani wala asingetajwa popote
 
naona fainali na chelsea au city alafu tunafungwa tena
Binaadam bhana!

Unataka tukifungwa ujifanye "si nili sema mie"
Mashabiki wenzangu wengine munazingua.

NB: inabidi tujiwekee utaratibu wa, kila mgeni akiingia humu (shabiki mwenzetu mpya) ajitambulishe,
Ana umri gani?
Ameanza kuishabikia Manchester United mwaka gani?
Ana uwelewa gani na maswala ya soccer?

Hiyo itapunguza kusumbuana vichwa.
 
Binaadam bhana!

Unataka tukifungwa ujifanye "si nili sema mie"
Mashabiki wenzangu wengine munazingua.

NB: inabidi tujiwekee utaratibu wa, kila mgeni akiingia humu (shabiki mwenzetu mpya) ajitambulishe,
Ana umri gani?
Ameanza kuishabikia Manchester United mwaka gani?
Ana uwelewa gani na maswala ya soccer?

Hiyo itapunguza kusumbuana vichwa.
man u naijua tokea 1995 ila historia yote naijua mi ni mkerekwetwa namba moja wa man
u ndo sababu nasemaga tukishinda na kushindwa yatupsa kufurai
 
Back
Top Bottom