Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Wote hao walianza kutoka kwa mourinho
Mchezaji pekee aliyepewa senior debut na Mourinho ni Scot na Tuanzebe tu kwa walioko kikosini.
Kama una chuki binafsi na Ole mchukie tu lakini hakuondoi ukweli kwamba amewaibua Mason na Brandon William's na kuwapa senior debuts.
Halafu angalia records za Rashford na Martial chini ya Mourinho ulinganishe na records zao chini ya Ole ni mbingu na ardhi.
