dogo Diallo anapsha hapaTusubiri debut ya huyu mtoto huenda tukaenjoy.



Kocha ndo anaewafanya wasijitume hao madogo, anawalea kimayai sana.Ndomaana enzi za mourinho, Martial aliozea bench.Hebu mtu hapa ampigie simu OGS amtoe Martial. Mpaka Bruno anacheka mwenyewe. Anampigia mipira anashindwa kuikimbilia inatoka nje. pambaf sana.
Sure..Kocha ndo anaewafanya wasijitume hao madogo, anawalea kimayai sana.Ndomaana enzi za mourinho, Martial aliozea bench.
Uyo hatukupigwa, ana kipaji kikubwa ila mzembe na haitofika kiwango kilichotarajiwa.Hebu mtu hapa ampigie simu OGS amtoe Martial. Mpaka Bruno anacheka mwenyewe. Anampigia mipira anashindwa kuikimbilia inatoka nje. pambaf sana.
Cha ajabu anakula pesa ndefu kuliko Bruno 😀.Timu imewaendekeza sana hao washenzi, yeye na mwenzake Rashid☹️.Uyo hatukupigwa, ana kipaji kikubwa ila mzembe na haitofika kiwango kilichotarajiwa.
Hebu mtu hapa ampigie simu OGS amtoe Martial. Mpaka Bruno anacheka mwenyewe. Anampigia mipira anashindwa kuikimbilia inatoka nje. pambaf sana.
Itakuwa unazungumzia mikimbio yake sio 🤔.Leo martial ana mech nzur sana
Itakuwa unazungumzia mikimbio yake sio.
Naona mnaongoza goli 9 bila
MCTOMINEY peke yake ndiyo anaupako wa kushoot pale mbele! Sijui strikers wanamatatizo gani
Kwnz vdb anacheza vzr sn co mbinafsi km haya matoto mawili, alafu wakuu nakumbusha tu kwamba Maguire tulipigwa.